Sipendi Uchawa
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 8,094
- 12,831
Na ukishampa usimtafute kabisa wala usijioneshe umeumia. Kuumia kupo lakini usitake kuonewa huruma. Vaa pendeza, kula ushibe endelea na kazi. Hata wakija wapelelezi kutaka kujua unaendeleaje, waikute furaha yako (jikaze) halafu baada ya miezi 6 rudi hapa utupe mrejesho.Pole sana kiongozi, hii taasisi ni ngumu mno na ku-survive inahitaji uvumilivu na upendo mwingi pia. Kama mke anasisitiza apewe talaka yake bila kutoa sababu hapo sababu itakuwa ni kuna mwamba mwingine ameanza kum-drive crazy kwahiyo wewe chakufanya hapo ni kumpa anachotaka
Ukijifanya kumlilialilia sana atakuendesha sana