atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,552
- 9,806
Mbona ameshaeleza tatizo kwenye post #38,jamaa tatizo lake ni ulevi,wife anapambana anampa hela afanye jambo la maendeleo mshikaji anapigia kileviMnamshauri atoe talaka wakat hatujui ttzo ni nini
Story yako ina magepu mengi na haijakamilika, ebu eleza shida yenu nn na mlikaa vikao kusuruhisha nini ebu weka mambo wazi ndo ushauriwe
Great thinker mko haraka sana kutoa maamuzi mbona mnakosa sifa za kua ma great thinker