Pole sana Mkuu.
Hali ambayo amefikia ni mbaya sana, na hii ni mbaya zaidi upande wake, kwa afya yako ya mwili na akili na future yako.
Sikiliza brother, vitabu vya dini havijakosea kutuandikia wanaume mashuhuri kama Adam, Suleiman, Samson n.k walianguka kupitia wanawake. It was really.
Kadri unavyojaribu kumtuliza, hapo ndipo unamwaga petrol ktk moto. Akili yako inakutuma unaweza zuia isitokee kuachana ila kiuhalisia hapo ni unazidi kumchochea akuache na asitake kabisa kuendelea na wewe.
Kama anahitaji talaka maana yake hataki tena penzi lako, hata akilala na wewe ni kujilazimisha tu, hakupendi tena, hisia zipo kwa mwingine. Yupo tayari aishi na mwingine ila sio wewe. Haya ni maneno magumu sana ila yanaweza yakawa na ukweli.
Usiwe mpumbavu, kwa unyenyekevu na kwa akili, mruhusu aende. ATAKUUA HUYO kama sio kukuvurugia maisha yako yote au huko mbeleni utakuja kujutia kwa kumng'ang'ania. Mpe anachohitaji na akianza kuona anajirudi usitishe usirudi nyuma, kazania msimamo wa talaka, itoe. Akienda huko anapotaka kwenda atarudi tena tu kwako, usijaribu kumpa nafasi ya pili, achana nae moja kwa moja.
Hali ambayo amefikia ni mbaya sana, na hii ni mbaya zaidi upande wake, kwa afya yako ya mwili na akili na future yako.
Sikiliza brother, vitabu vya dini havijakosea kutuandikia wanaume mashuhuri kama Adam, Suleiman, Samson n.k walianguka kupitia wanawake. It was really.
Kadri unavyojaribu kumtuliza, hapo ndipo unamwaga petrol ktk moto. Akili yako inakutuma unaweza zuia isitokee kuachana ila kiuhalisia hapo ni unazidi kumchochea akuache na asitake kabisa kuendelea na wewe.
Kama anahitaji talaka maana yake hataki tena penzi lako, hata akilala na wewe ni kujilazimisha tu, hakupendi tena, hisia zipo kwa mwingine. Yupo tayari aishi na mwingine ila sio wewe. Haya ni maneno magumu sana ila yanaweza yakawa na ukweli.
Usiwe mpumbavu, kwa unyenyekevu na kwa akili, mruhusu aende. ATAKUUA HUYO kama sio kukuvurugia maisha yako yote au huko mbeleni utakuja kujutia kwa kumng'ang'ania. Mpe anachohitaji na akianza kuona anajirudi usitishe usirudi nyuma, kazania msimamo wa talaka, itoe. Akienda huko anapotaka kwenda atarudi tena tu kwako, usijaribu kumpa nafasi ya pili, achana nae moja kwa moja.