Brain Kingdom
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 7,004
- 14,551
Kama amechelewa kuroga ni kosa lake kitu Kama hicho unaroga na unachomoa
Hata Kama wazazi wake Wana Hali mbaya kiuchumi haikusababishi yeye kufunnja Sheria zilizowekwa na chuo .Kuna baadhi ya watu wamekosa kabisa ubinadamu na kujiona wao ni watu waliosahihi na hawatawahi kukosea.
Ipo hivi, Kuna dogo anasoma MUST mwaka wa tatu, alijisahau akaingia na simu ndogo (kiswaswadu) kwenye chumba Cha mtihani lakini inavoonekana atafukuzwa chuo Kwa kosa la kuingia na simu ndan ya chumba Cha mtihani.
Sasa nachojiuliza hivi ni kweli binadamu wamekuwa na roho mbaya kiasi hiki ambapo simu aliyoingia nayo Haina hata uwezo wa kufungua internet Wala PDF najiuliza hata kama ni sheria hio sheria haiangalii mazingira yanayopelekea kufanyika Kwa udanganyifu kwenye mtihani .
Wakuu naomba ushauri wa kumsaidia huyu bwana mdogo kwani ni mwaka wa mwisho na alikuwa anategemewa na walezi wake ambao kiukweli Wana Hali mbaya kiuchumi.
Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app
Tobaaa!sijui huko alipo ila kwa UDSM bora hata umpige mwalimu ngumi unaweza kutoboa ila simu hata iwe housing tu na haiwaki, jua umeisha ni lazima ufukuzwe chuo!!
iwe ilikuwa haiwaki au haina display as long as ni simu, wewe ni bye bye na kibachosikitisha zaidi process za kumfuta mtu cguo huchukua muda unaweza kuta umekamatwa kwenye pepa la semester 1 ukafanya mpaka mitihani ya semester ya pili, ila mwaka unaofuata unashangaa barua hii hapa
Si chai hi jamaa anatulisha hapa kwa story za vijiweniHiyo ilikuaje ina Maana kulikuwa hakuna special exam?
Sikupingi lakini utambue uhasibu una misingi yake na una njia zake usipozijua utaishia jela excel na mambo ya computer ni vitu vya kujifunza unaweza jua kwa sana au usijue i ategemea nguvu umeiwekeza wapi na akili imetulia kiasi gani. Ukikuta muhasibu hajua accounting principal basi huyo hakuwa na nia ya uhasibu kaenda kusoma basi tuNdio maana wahasibu wengi ni sufuri hata excel inawasumbua
Kinaweza kutumika kutuma meseji nje ya venue,na kupokea meseji pia na hata akienda msalani ni rahisi kumpigia mtu wa nje,akamdomea majibu.
ulipaswa kuifuatilia kimyakimya ila kuileta hapa kunafanya mamlaka kutolea macho jambo lako hivyo kuwa gumu kusamehewa.Kuna baadhi ya watu wamekosa kabisa ubinadamu na kujiona wao ni watu waliosahihi na hawatawahi kukosea.
Ipo hivi, Kuna dogo anasoma MUST mwaka wa tatu, alijisahau akaingia na simu ndogo (kiswaswadu) kwenye chumba Cha mtihani lakini inavoonekana atafukuzwa chuo Kwa kosa la kuingia na simu ndan ya chumba Cha mtihani.
Sasa nachojiuliza hivi ni kweli binadamu wamekuwa na roho mbaya kiasi hiki ambapo simu aliyoingia nayo Haina hata uwezo wa kufungua internet Wala PDF najiuliza hata kama ni sheria hio sheria haiangalii mazingira yanayopelekea kufanyika Kwa udanganyifu kwenye mtihani .
Wakuu naomba ushauri wa kumsaidia huyu bwana mdogo kwani ni mwaka wa mwisho na alikuwa anategemewa na walezi wake ambao kiukweli Wana Hali mbaya kiuchumi.
Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app
Kakosea sana,kulileta humu,kamwagia mafuta kwenye moto,yangeishia hukohuko nje ya JF.Sema tu ni wewe Ili usaidiwe..
anyway, Mimi ni lecturer hapo MUST na Ndie niliekukamata na simu.. umeona uje huku jeiefu ukidhani sipo? Hili suala nakuhakikishia ntalivalia njuga hadi ufukuzwe chuo
Huyo Jamaa wa baby care dronedrake lazima katupanga tu , Chuoni Special lazima iwepoSi chai hi jamaa anatulisha hapa kwa story za vijiweni
Kuna special exam endapo umekosa mtiani fln kwa sababu fln
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
bila sababu maalum, hakuna special, jamaa alichanganya timeTable, huo ni uzembe mzee ngoma inasoma INCOMPLETE, disco moja kwa moko,Huyo Jamaa wa baby care dronedrake lazima katupanga tu , Chuoni Special lazima iwepo
lecturer nakuonaga ukiporomosha matusi uzi wa wazee wa kubetSema tu ni wewe Ili usaidiwe..
anyway, Mimi ni lecturer hapo MUST na Ndie niliekukamata na simu.. umeona uje huku jeiefu ukidhani sipo? Hili suala nakuhakikishia ntalivalia njuga hadi ufukuzwe chuo
Kuna baadhi ya watu wamekosa kabisa ubinadamu na kujiona wao ni watu waliosahihi na hawatawahi kukosea.
Ipo hivi, Kuna dogo anasoma MUST mwaka wa tatu, alijisahau akaingia na simu ndogo (kiswaswadu) kwenye chumba Cha mtihani lakini inavoonekana atafukuzwa chuo Kwa kosa la kuingia na simu ndan ya chumba Cha mtihani.
Sasa nachojiuliza hivi ni kweli binadamu wamekuwa na roho mbaya kiasi hiki ambapo simu aliyoingia nayo Haina hata uwezo wa kufungua internet Wala PDF najiuliza hata kama ni sheria hio sheria haiangalii mazingira yanayopelekea kufanyika Kwa udanganyifu kwenye mtihani .
Wakuu naomba ushauri wa kumsaidia huyu bwana mdogo kwani ni mwaka wa mwisho na alikuwa anategemewa na walezi wake ambao kiukweli Wana Hali mbaya kiuchumi.
Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app
Ulisoma course ipi hapo UD bwana Dronedrake?!bila sababu maalum, hakuna special, jamaa alichanganya timeTable, huo ni uzembe mzee ngoma inasoma INCOMPLETE, disco moja kwa moko,
sijakupanga mzee, ngoma ilikua 2014 iyo, bibo moja
kwa sababu maalum mara nyingi unapewa uje ufanye Sup
EEUlisoma course ipi hapo UD bwana Dronedrake?!
Electrical Engineering?!
Ndiyo mzeeElectrical Engineering?!