Huu sio ubinadamu kabisa

Huu sio ubinadamu kabisa

Kuna baadhi ya watu wamekosa kabisa ubinadamu na kujiona wao ni watu waliosahihi na hawatawahi kukosea.

Ipo hivi, Kuna dogo anasoma MUST mwaka wa tatu, alijisahau akaingia na simu ndogo (kiswaswadu) kwenye chumba Cha mtihani lakini inavoonekana atafukuzwa chuo Kwa kosa la kuingia na simu ndan ya chumba Cha mtihani.

Sasa nachojiuliza hivi ni kweli binadamu wamekuwa na roho mbaya kiasi hiki ambapo simu aliyoingia nayo Haina hata uwezo wa kufungua internet Wala PDF najiuliza hata kama ni sheria hio sheria haiangalii mazingira yanayopelekea kufanyika Kwa udanganyifu kwenye mtihani .

Wakuu naomba ushauri wa kumsaidia huyu bwana mdogo kwani ni mwaka wa mwisho na alikuwa anategemewa na walezi wake ambao kiukweli Wana Hali mbaya kiuchumi.

Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app
Hata Kama wazazi wake Wana Hali mbaya kiuchumi haikusababishi yeye kufunnja Sheria zilizowekwa na chuo .

Kimsingi atafukuzwa tu akasadiane kilimo hukoo kwao



Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
sijui huko alipo ila kwa UDSM bora hata umpige mwalimu ngumi unaweza kutoboa ila simu hata iwe housing tu na haiwaki, jua umeisha ni lazima ufukuzwe chuo!!

iwe ilikuwa haiwaki au haina display as long as ni simu, wewe ni bye bye na kibachosikitisha zaidi process za kumfuta mtu cguo huchukua muda unaweza kuta umekamatwa kwenye pepa la semester 1 ukafanya mpaka mitihani ya semester ya pili, ila mwaka unaofuata unashangaa barua hii hapa
Tobaaa!
 
Ndio maana wahasibu wengi ni sufuri hata excel inawasumbua
Sikupingi lakini utambue uhasibu una misingi yake na una njia zake usipozijua utaishia jela excel na mambo ya computer ni vitu vya kujifunza unaweza jua kwa sana au usijue i ategemea nguvu umeiwekeza wapi na akili imetulia kiasi gani. Ukikuta muhasibu hajua accounting principal basi huyo hakuwa na nia ya uhasibu kaenda kusoma basi tu
 
Kuna baadhi ya watu wamekosa kabisa ubinadamu na kujiona wao ni watu waliosahihi na hawatawahi kukosea.

Ipo hivi, Kuna dogo anasoma MUST mwaka wa tatu, alijisahau akaingia na simu ndogo (kiswaswadu) kwenye chumba Cha mtihani lakini inavoonekana atafukuzwa chuo Kwa kosa la kuingia na simu ndan ya chumba Cha mtihani.

Sasa nachojiuliza hivi ni kweli binadamu wamekuwa na roho mbaya kiasi hiki ambapo simu aliyoingia nayo Haina hata uwezo wa kufungua internet Wala PDF najiuliza hata kama ni sheria hio sheria haiangalii mazingira yanayopelekea kufanyika Kwa udanganyifu kwenye mtihani .

Wakuu naomba ushauri wa kumsaidia huyu bwana mdogo kwani ni mwaka wa mwisho na alikuwa anategemewa na walezi wake ambao kiukweli Wana Hali mbaya kiuchumi.

Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app
ulipaswa kuifuatilia kimyakimya ila kuileta hapa kunafanya mamlaka kutolea macho jambo lako hivyo kuwa gumu kusamehewa.
 
Sema tu ni wewe Ili usaidiwe..

anyway, Mimi ni lecturer hapo MUST na Ndie niliekukamata na simu.. umeona uje huku jeiefu ukidhani sipo? Hili suala nakuhakikishia ntalivalia njuga hadi ufukuzwe chuo
Kakosea sana,kulileta humu,kamwagia mafuta kwenye moto,yangeishia hukohuko nje ya JF.
 
Nakumbuka mhadhiri wangu kesi kama hizo anasema I don't have time to waste,ndo imeisha hiyo
Pole sana jaribu kuwafata na kuongea nao sababu ya kufanya uingie na simu,simu ndogo bado sio sababu
 
Jambo hilo limewahi kunikuta nikiwa mwaka wa tatu chuo kimoja huko huko mbeya, niliingia na simu,smartphone kwa bahati mbaya wala sikudhamiria, wakati mtihani unaendelea alarm ilianza kuita na sms zikaanza kuingia, japo ilikuwa baridi sana lakini jasho lilinitoka hasia kwenye viganja, walimu wawi wakawa wanakuja kuisikilizia sauti inatoka wapi, nikajisemea potelea pote nikaibinya simu kwa nguvu kwenye kioo hadi ikastaki. walimu hawakuniona,baadaya mufa nikaomba ruhusa kwenda chooni, nikaiacha simu huko nikarusi kuendelea na mtihani. kwa kweli nilikuwa nauona mwisho wangu wa kupaya degree lakini Mungu alinisaidia na sasa nalitumikia Taifa kama kawaida.
 
Huyo Jamaa wa baby care dronedrake lazima katupanga tu , Chuoni Special lazima iwepo
bila sababu maalum, hakuna special, jamaa alichanganya timeTable, huo ni uzembe mzee ngoma inasoma INCOMPLETE, disco moja kwa moko,
sijakupanga mzee, ngoma ilikua 2014 iyo, bibo moja

kwa sababu maalum mara nyingi unapewa uje ufanye Sup
 
Sema tu ni wewe Ili usaidiwe..

anyway, Mimi ni lecturer hapo MUST na Ndie niliekukamata na simu.. umeona uje huku jeiefu ukidhani sipo? Hili suala nakuhakikishia ntalivalia njuga hadi ufukuzwe chuo
lecturer nakuonaga ukiporomosha matusi uzi wa wazee wa kubet
 
Kuna baadhi ya watu wamekosa kabisa ubinadamu na kujiona wao ni watu waliosahihi na hawatawahi kukosea.

Ipo hivi, Kuna dogo anasoma MUST mwaka wa tatu, alijisahau akaingia na simu ndogo (kiswaswadu) kwenye chumba Cha mtihani lakini inavoonekana atafukuzwa chuo Kwa kosa la kuingia na simu ndan ya chumba Cha mtihani.

Sasa nachojiuliza hivi ni kweli binadamu wamekuwa na roho mbaya kiasi hiki ambapo simu aliyoingia nayo Haina hata uwezo wa kufungua internet Wala PDF najiuliza hata kama ni sheria hio sheria haiangalii mazingira yanayopelekea kufanyika Kwa udanganyifu kwenye mtihani .

Wakuu naomba ushauri wa kumsaidia huyu bwana mdogo kwani ni mwaka wa mwisho na alikuwa anategemewa na walezi wake ambao kiukweli Wana Hali mbaya kiuchumi.

Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app

Sheria ni sheria tu, tena wakimfukuza nitawapongeza, maana wamesimamia kanuni.
 
bila sababu maalum, hakuna special, jamaa alichanganya timeTable, huo ni uzembe mzee ngoma inasoma INCOMPLETE, disco moja kwa moko,
sijakupanga mzee, ngoma ilikua 2014 iyo, bibo moja

kwa sababu maalum mara nyingi unapewa uje ufanye Sup
Ulisoma course ipi hapo UD bwana Dronedrake?!
 
Back
Top Bottom