Huu sio ubinadamu kabisa

Huu sio ubinadamu kabisa

Kuna baadhi ya watu wamekosa kabisa ubinadamu na kujiona wao ni watu waliosahihi na hawatawahi kukosea.

Ipo hivi, Kuna dogo anasoma MUST mwaka wa tatu, alijisahau akaingia na simu ndogo (kiswaswadu) kwenye chumba Cha mtihani lakini inavoonekana atafukuzwa chuo Kwa kosa la kuingia na simu ndan ya chumba Cha mtihani.

Sasa nachojiuliza hivi ni kweli binadamu wamekuwa na roho mbaya kiasi hiki ambapo simu aliyoingia nayo Haina hata uwezo wa kufungua internet Wala PDF najiuliza hata kama ni sheria hio sheria haiangalii mazingira yanayopelekea kufanyika Kwa udanganyifu kwenye mtihani .

Wakuu naomba ushauri wa kumsaidia huyu bwana mdogo kwani ni mwaka wa mwisho na alikuwa anategemewa na walezi wake ambao kiukweli Wana Hali mbaya kiuchumi.

Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app
Kama haruhusiwi kuingia na simu kwenye mtihani yeye why kaingia nayo. Even haina uwezo wa internet ila inatuma na kupokea sms
 
project si mwaka wa mwisho ? ndiyo lina UE yake, ni kuonesha kile ulichotengeneza kikifanya kazi
Ndiyo ni mwaka wa mwisho, umewahi kuona mtu ana-disco kisa incomplete ya projec? Katika taaluma yangu ya kufundisha vyuoni mwaka fulani, hii haikuwahi kutokea. Ni kwenye modules za kawaida tu! Project uki miss presentation mara nyingi una retake na huwezi ku graduate kijana wangu. Sivyo?!
 
Ndiyo ni mwaka wa mwisho, umewahi kuona mtu ana-disco kisa incomplete ya projec? Katika taaluma yangu ya kufundisha vyuoni mwaka fulani, hii haikuwahi kutokea. Ni kwenye modules za kawaida tu! Project uki miss presentation mara nyingi una retake na huwezi ku graduate kijana wangu. Sivyo?!
sijui kuhusu project, lakini nimeshuhudia waathirika kadhaa kwa modules zingine,
ukiwa na INC tu, wewe ni bye bye
 
hakuna namna hapo, labda aanze na serikali ya wanafunzi wa chuo

umenikumbusha kisa kimoja hivi mabibo campus
jamaa yupo room anatia msuli, akijua mtihani ni saa 8 mchana ( 08:30 hrs )
kumbe ni saa 2 asubuhi, jamaa ni disco moja kwa moja
alipiga magoti sana utawala kule, haikusaidia
Hao ndio wale magaidi wanasoma peke yao. Kuna unapiga msuli na wana huwezi kukosa info
 
Kuna baadhi ya watu wamekosa kabisa ubinadamu na kujiona wao ni watu waliosahihi na hawatawahi kukosea.

Ipo hivi, Kuna dogo anasoma MUST mwaka wa tatu, alijisahau akaingia na simu ndogo (kiswaswadu) kwenye chumba Cha mtihani lakini inavoonekana atafukuzwa chuo Kwa kosa la kuingia na simu ndan ya chumba Cha mtihani.

Sasa nachojiuliza hivi ni kweli binadamu wamekuwa na roho mbaya kiasi hiki ambapo simu aliyoingia nayo Haina hata uwezo wa kufungua internet Wala PDF najiuliza hata kama ni sheria hio sheria haiangalii mazingira yanayopelekea kufanyika Kwa udanganyifu kwenye mtihani .

Wakuu naomba ushauri wa kumsaidia huyu bwana mdogo kwani ni mwaka wa mwisho na alikuwa anategemewa na walezi wake ambao kiukweli Wana Hali mbaya kiuchumi.

Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app
Sheria ni msumeno....
 
Kuna baadhi ya watu wamekosa kabisa ubinadamu na kujiona wao ni watu waliosahihi na hawatawahi kukosea.

Ipo hivi, Kuna dogo anasoma MUST mwaka wa tatu, alijisahau akaingia na simu ndogo (kiswaswadu) kwenye chumba Cha mtihani lakini inavoonekana atafukuzwa chuo Kwa kosa la kuingia na simu ndan ya chumba Cha mtihani.

Sasa nachojiuliza hivi ni kweli binadamu wamekuwa na roho mbaya kiasi hiki ambapo simu aliyoingia nayo Haina hata uwezo wa kufungua internet Wala PDF najiuliza hata kama ni sheria hio sheria haiangalii mazingira yanayopelekea kufanyika Kwa udanganyifu kwenye mtihani .

Wakuu naomba ushauri wa kumsaidia huyu bwana mdogo kwani ni mwaka wa mwisho na alikuwa anategemewa na walezi wake ambao kiukweli Wana Hali mbaya kiuchumi.

Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app
Wakati nafanya mtihani wangu wa mwisho mwisho kumaliza elimu yangu ya chuo kikuu katika chuo fulani... Ilisha wahi nitokea.. nilisahau la bontel mfukoni vile viswaswadu vyembambaaaa!! Afu virefu sijui nilifikiri nini? Sijui niliwaza ni rula.... SAsa pepa limeanza kikaitafukoni... Nili tetemeka sana... Katika wale wasimamizi kuna Mdada/mama fulani kiaina... Alisikia akanionyesha ishara nizime afu niende kuweka kwenye begi.. nikatekeleza baada ya Hapo akaniambia kaendelee na mtihani....

Daah!! Nikasema dahh! Roho wa Mungu alikuwa ndani yake... Nilimuombea baraka KWa Mungu sana... Maana alijua huyu mwamba hajafanya makusudi kupitiwa tu.....
 
20230402_151854.jpg
 
Kuna baadhi ya watu wamekosa kabisa ubinadamu na kujiona wao ni watu waliosahihi na hawatawahi kukosea.

Ipo hivi, Kuna dogo anasoma MUST mwaka wa tatu, alijisahau akaingia na simu ndogo (kiswaswadu) kwenye chumba Cha mtihani lakini inavoonekana atafukuzwa chuo Kwa kosa la kuingia na simu ndan ya chumba Cha mtihani.

Sasa nachojiuliza hivi ni kweli binadamu wamekuwa na roho mbaya kiasi hiki ambapo simu aliyoingia nayo Haina hata uwezo wa kufungua internet Wala PDF najiuliza hata kama ni sheria hio sheria haiangalii mazingira yanayopelekea kufanyika Kwa udanganyifu kwenye mtihani .

Wakuu naomba ushauri wa kumsaidia huyu bwana mdogo kwani ni mwaka wa mwisho na alikuwa anategemewa na walezi wake ambao kiukweli Wana Hali mbaya kiuchumi.
Imepita muda gani tangu tukio? Ilitakiwa lilipotokea tu apate mwanasheria, kwa pamoja Simu ipekuliwe kuthibitisha kama kipindi cha mtihani Simu ilitumika. Kama haikutumika, ingekuwa ni mazingira ya kuzuia kufukuzwa.
Roho mbaya ni sifa ya MTz, kumharibia mwenzie ndio burudani kubwa aipatayo. Kwa nini wasingemfanya ameshindwa huo mtihani ili aurudie?
Na pia WaTz tuache ushamba na hizi simu.
 
Back
Top Bottom