Mkulungwa01
JF-Expert Member
- Jul 14, 2021
- 3,977
- 5,351
Somo la Project ulilifanya?! Je, nalo lina UE?Ndiyo mzee
Somo la Project ulilifanya?! Je, nalo lina UE?Ndiyo mzee
project si mwaka wa mwisho ? ndiyo lina UE yake, ni kuonesha kile ulichotengeneza kikifanya kaziSomo la Project ulilifanya?! Je, nalo lina UE?
Kama haruhusiwi kuingia na simu kwenye mtihani yeye why kaingia nayo. Even haina uwezo wa internet ila inatuma na kupokea smsKuna baadhi ya watu wamekosa kabisa ubinadamu na kujiona wao ni watu waliosahihi na hawatawahi kukosea.
Ipo hivi, Kuna dogo anasoma MUST mwaka wa tatu, alijisahau akaingia na simu ndogo (kiswaswadu) kwenye chumba Cha mtihani lakini inavoonekana atafukuzwa chuo Kwa kosa la kuingia na simu ndan ya chumba Cha mtihani.
Sasa nachojiuliza hivi ni kweli binadamu wamekuwa na roho mbaya kiasi hiki ambapo simu aliyoingia nayo Haina hata uwezo wa kufungua internet Wala PDF najiuliza hata kama ni sheria hio sheria haiangalii mazingira yanayopelekea kufanyika Kwa udanganyifu kwenye mtihani .
Wakuu naomba ushauri wa kumsaidia huyu bwana mdogo kwani ni mwaka wa mwisho na alikuwa anategemewa na walezi wake ambao kiukweli Wana Hali mbaya kiuchumi.
Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app
Ndiyo ni mwaka wa mwisho, umewahi kuona mtu ana-disco kisa incomplete ya projec? Katika taaluma yangu ya kufundisha vyuoni mwaka fulani, hii haikuwahi kutokea. Ni kwenye modules za kawaida tu! Project uki miss presentation mara nyingi una retake na huwezi ku graduate kijana wangu. Sivyo?!project si mwaka wa mwisho ? ndiyo lina UE yake, ni kuonesha kile ulichotengeneza kikifanya kazi
sijui kuhusu project, lakini nimeshuhudia waathirika kadhaa kwa modules zingine,Ndiyo ni mwaka wa mwisho, umewahi kuona mtu ana-disco kisa incomplete ya projec? Katika taaluma yangu ya kufundisha vyuoni mwaka fulani, hii haikuwahi kutokea. Ni kwenye modules za kawaida tu! Project uki miss presentation mara nyingi una retake na huwezi ku graduate kijana wangu. Sivyo?!
Hao ndio wale magaidi wanasoma peke yao. Kuna unapiga msuli na wana huwezi kukosa infohakuna namna hapo, labda aanze na serikali ya wanafunzi wa chuo
umenikumbusha kisa kimoja hivi mabibo campus
jamaa yupo room anatia msuli, akijua mtihani ni saa 8 mchana ( 08:30 hrs )
kumbe ni saa 2 asubuhi, jamaa ni disco moja kwa moja
alipiga magoti sana utawala kule, haikusaidia
Sheria ni msumeno....Kuna baadhi ya watu wamekosa kabisa ubinadamu na kujiona wao ni watu waliosahihi na hawatawahi kukosea.
Ipo hivi, Kuna dogo anasoma MUST mwaka wa tatu, alijisahau akaingia na simu ndogo (kiswaswadu) kwenye chumba Cha mtihani lakini inavoonekana atafukuzwa chuo Kwa kosa la kuingia na simu ndan ya chumba Cha mtihani.
Sasa nachojiuliza hivi ni kweli binadamu wamekuwa na roho mbaya kiasi hiki ambapo simu aliyoingia nayo Haina hata uwezo wa kufungua internet Wala PDF najiuliza hata kama ni sheria hio sheria haiangalii mazingira yanayopelekea kufanyika Kwa udanganyifu kwenye mtihani .
Wakuu naomba ushauri wa kumsaidia huyu bwana mdogo kwani ni mwaka wa mwisho na alikuwa anategemewa na walezi wake ambao kiukweli Wana Hali mbaya kiuchumi.
Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app
Wakati nafanya mtihani wangu wa mwisho mwisho kumaliza elimu yangu ya chuo kikuu katika chuo fulani... Ilisha wahi nitokea.. nilisahau la bontel mfukoni vile viswaswadu vyembambaaaa!! Afu virefu sijui nilifikiri nini? Sijui niliwaza ni rula.... SAsa pepa limeanza kikaitafukoni... Nili tetemeka sana... Katika wale wasimamizi kuna Mdada/mama fulani kiaina... Alisikia akanionyesha ishara nizime afu niende kuweka kwenye begi.. nikatekeleza baada ya Hapo akaniambia kaendelee na mtihani....Kuna baadhi ya watu wamekosa kabisa ubinadamu na kujiona wao ni watu waliosahihi na hawatawahi kukosea.
Ipo hivi, Kuna dogo anasoma MUST mwaka wa tatu, alijisahau akaingia na simu ndogo (kiswaswadu) kwenye chumba Cha mtihani lakini inavoonekana atafukuzwa chuo Kwa kosa la kuingia na simu ndan ya chumba Cha mtihani.
Sasa nachojiuliza hivi ni kweli binadamu wamekuwa na roho mbaya kiasi hiki ambapo simu aliyoingia nayo Haina hata uwezo wa kufungua internet Wala PDF najiuliza hata kama ni sheria hio sheria haiangalii mazingira yanayopelekea kufanyika Kwa udanganyifu kwenye mtihani .
Wakuu naomba ushauri wa kumsaidia huyu bwana mdogo kwani ni mwaka wa mwisho na alikuwa anategemewa na walezi wake ambao kiukweli Wana Hali mbaya kiuchumi.
Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app
Imepita muda gani tangu tukio? Ilitakiwa lilipotokea tu apate mwanasheria, kwa pamoja Simu ipekuliwe kuthibitisha kama kipindi cha mtihani Simu ilitumika. Kama haikutumika, ingekuwa ni mazingira ya kuzuia kufukuzwa.Kuna baadhi ya watu wamekosa kabisa ubinadamu na kujiona wao ni watu waliosahihi na hawatawahi kukosea.
Ipo hivi, Kuna dogo anasoma MUST mwaka wa tatu, alijisahau akaingia na simu ndogo (kiswaswadu) kwenye chumba Cha mtihani lakini inavoonekana atafukuzwa chuo Kwa kosa la kuingia na simu ndan ya chumba Cha mtihani.
Sasa nachojiuliza hivi ni kweli binadamu wamekuwa na roho mbaya kiasi hiki ambapo simu aliyoingia nayo Haina hata uwezo wa kufungua internet Wala PDF najiuliza hata kama ni sheria hio sheria haiangalii mazingira yanayopelekea kufanyika Kwa udanganyifu kwenye mtihani .
Wakuu naomba ushauri wa kumsaidia huyu bwana mdogo kwani ni mwaka wa mwisho na alikuwa anategemewa na walezi wake ambao kiukweli Wana Hali mbaya kiuchumi.