Huu ni Ushamba na ulofa.

Huu ni Ushamba na ulofa.

wewe bwege nn jina langu limefuata nn hapo,halafu namba 3 ina kaukweli waongaji wakubwa ni majitu yasiyojua kutongoza..ingawa kumpa demu wako kias fln cha pesa ina raha yake hasa ukipata demu anayejielewa

Pole sana mkuu.
Maisha ndio hivyo
 
Hata huyo rais Mkapa wako naye Mtanzania. Kwa hiyo na yeye lofa kwa msingi huo.
Huoni alikuwa anaita watu malofa alafu dakika chache anachanganyikiwa anaomba kura. Yaani nilikuwa nacheka sana.
 
Ni ulofa kushabikia mpira??????? Wanawake mkiona mwanaume hashabikii mpira huyo ana mapungufu
Ni ulofa kushabikia mambo ambayo hayana faida zaidi ya kupoteza muda.

Huwezi elewa sasa hivi ila ipo siku utaelewa ulikuwa lofa na kichaa Kwa kushabikia mambo ambayo hayakuongezei hata dakika moja ya uzima
 
Namba 1 sawa ila hayo mengine ni ushamba na ulofa kutokana na mtazamo wako wa Dunia yako. Umesahau kuwa binadamu wote hawawezi kuwa wewe. We can't have the same personality at all.
 
Kwa hisani ya kiumeni.

1. Tabia ya kuchukua namba watu humu ndani na baadae kuwasiliana kisha mkishindwana huko unakuja kumwaga umbea wako kama mwanamke wa kizaramo ni Ushamba na ulofa.

2. Kuweka Profile isiyo yako. Yaani kumweka mwanaume mwenzako au mwanamke mwenzako ni Ushamba na ulofa. Bora umuweke Mama, mke, mume au ndugu yako kuliko kuweka watu ambao hujawahi hata kuwaona ana Kwa ana na ukizingatia ni wazungu. Unamuweka mtu ambaye yeye akiambiwa akuweke kwenye Dp yake hatakuweka. Kama unatabia hii wee ni kichaa usiyejitambua.

3. Unahonga wanawake ambao na unajiona ni mwanaume. Wewe ni chizi uliyebakiza kuokota makopo. Ni Ushamba kuhonga mwanamke ambaye si Mke wako. Na hii hutokea Kwa wanaoanza mapenzi ukubwani.

4. Ni Ushamba kutongoza tongoza kila mwanamke unayemuona. Huu ni ulofa uliovuka mipaka. Wanaume wanaotongoza tongoza wanawake ovyo mara nyingi hawana nguvu za kiume.

5. Ni Ushamba na Ulofa kutamani kitu usiokuwa na uwezo kukipata. Yaani unakuta jitu linatamaa na vitu vikubwa wakati akili yake ndogo.

6. Ni Ulofa kushabikia mambo yasio na maana kama Mpira wa nje, Dini kutoka Ulaya na uarabuni. Ndio maana Afrika tunaitwa manyani.

7. Ni Ulofa na Ushamba Kutumia majina ya mataifa mengine kama Michael, Andrew, Janet, Sophia, Mwanaisha, Ashura n.k.

8. Ni Ulofa na Ushamba kutamani na kudharau kazi ya mtu mwingine ambaye humpi hata Mia kuendesha maisha Yake.

9. Ni Ulofa na Ushamba kumsikiliza mwanamke Kwa kila kitu. Labda uwe ndani ya jeneza.

Wakuendelea aendelee

Kwa hisani ya kiumeni
Hivi huoni taifa lipo ktk janga gani kwa sasa mkuu? Au n wewe tukuite mtu wa aina gan kwa ulichofanya iki kwenye post yako? .... Muwe mnafikiri n co kukurupuka tu kama ivi.... Macho, mackio n akili vyote vpo sheikh amri abeid.... Kuna hauna akili, na wengineo mtaoiona hii comment bs pingeni ... Alaaah
 
Ni ulofa kushabikia mambo ambayo hayana faida zaidi ya kupoteza muda.

Huwezi elewa sasa hivi ila ipo siku utaelewa ulikuwa lofa na kichaa Kwa kushabikia mambo ambayo hayakuongezei hata dakika moja ya uzima
Naona umejiweka ID kabisa halafu ukitongoza ukakataliwa utalalamika umerogwa kumbe sababu hizi post zako za kilofa
 
Hivi huoni taifa lipo ktk janga gani kwa sasa mkuu? Au n wewe tukuite mtu wa aina gan kwa ulichofanya iki kwenye post yako? .... Muwe mnafikiri n co kukurupuka tu kama ivi.... Macho, mackio n akili vyote vpo sheikh amri abeid.... Kuna hauna akili, na wengineo mtaoiona hii comment bs pingeni ... Alaaah
Una maana gani mkuu? Kwani taifa lipo kwenye nini?
 
Not bad... U shd av to hold on 4 a moment, then kwa wengine pia.... Anyway endelea bt nliona nkutolee povu ww mkuu, mov on boss
 
Dini wote tumeletewa sijui ww dini gan, uscho kipenda ww wengne wanakipenda jpange tena kijana
 
Back
Top Bottom