Huu ni Ushamba na ulofa.

Huu ni Ushamba na ulofa.

Kwa hisani ya kiumeni.

1. Tabia ya kuchukua namba watu humu ndani na baadae kuwasiliana kisha mkishindwana huko unakuja kumwaga umbea wako kama mwanamke wa kizaramo ni Ushamba na ulofa.

2. Kuweka Profile isiyo yako. Yaani kumweka mwanaume mwenzako au mwanamke mwenzako ni Ushamba na ulofa. Bora umuweke Mama, mke, mume au ndugu yako kuliko kuweka watu ambao hujawahi hata kuwaona ana Kwa ana na ukizingatia ni wazungu. Unamuweka mtu ambaye yeye akiambiwa akuweke kwenye Dp yake hatakuweka. Kama unatabia hii wee ni kichaa usiyejitambua.

3. Unahonga wanawake ambao na unajiona ni mwanaume. Wewe ni chizi uliyebakiza kuokota makopo. Ni Ushamba kuhonga mwanamke ambaye si Mke wako. Na hii hutokea Kwa wanaoanza mapenzi ukubwani.

4. Ni Ushamba kutongoza tongoza kila mwanamke unayemuona. Huu ni ulofa uliovuka mipaka. Wanaume wanaotongoza tongoza wanawake ovyo mara nyingi hawana nguvu za kiume.

5. Ni Ushamba na Ulofa kutamani kitu usiokuwa na uwezo kukipata. Yaani unakuta jitu linatamaa na vitu vikubwa wakati akili yake ndogo.

6. Ni Ulofa kushabikia mambo yasio na maana kama Mpira wa nje, Dini kutoka Ulaya na uarabuni. Ndio maana Afrika tunaitwa manyani.

7. Ni Ulofa na Ushamba Kutumia majina ya mataifa mengine kama Michael, Andrew, Janet, Sophia, Mwanaisha, Ashura n.k.

8. Ni Ulofa na Ushamba kutamani na kudharau kazi ya mtu mwingine ambaye humpi hata Mia kuendesha maisha Yake.

9. Ni Ulofa na Ushamba kumsikiliza mwanamke Kwa kila kitu. Labda uwe ndani ya jeneza.

Wakuendelea aendelee

Kwa hisani ya kiumeni
Ni USHAMBA na ULOFA kuzaa mtoto mpuuzi kama wewe na kumwacha akue. Ilikuwa bora mama atoe mimba yako au atupe kichanga ulipozaliwa kuliko kuleta Shida hii duniani.
 
Mmmmmh kali ya mwaka unatumia vipi account ya mtu kwani kufungua account sh ngap!!!!!! Uwo ni mtazamo wako tyu sir
 
Ni USHAMBA na ULOFA kuzaa mtoto mpuuzi kama wewe na kumwacha akue. Ilikuwa bora mama atoe mimba yako au atupe kichanga ulipozaliwa kuliko kuleta Shida hii duniani.
Umepaniko Broo. Take it easy.
 
Kwa hisani ya kiumeni.

1. Tabia ya kuchukua namba watu humu ndani na baadae kuwasiliana kisha mkishindwana huko unakuja kumwaga umbea wako kama mwanamke wa kizaramo ni Ushamba na ulofa.

2. Kuweka Profile isiyo yako. Yaani kumweka mwanaume mwenzako au mwanamke mwenzako ni Ushamba na ulofa. Bora umuweke Mama, mke, mume au ndugu yako kuliko kuweka watu ambao hujawahi hata kuwaona ana Kwa ana na ukizingatia ni wazungu. Unamuweka mtu ambaye yeye akiambiwa akuweke kwenye Dp yake hatakuweka. Kama unatabia hii wee ni kichaa usiyejitambua.

3. Unahonga wanawake ambao na unajiona ni mwanaume. Wewe ni chizi uliyebakiza kuokota makopo. Ni Ushamba kuhonga mwanamke ambaye si Mke wako. Na hii hutokea Kwa wanaoanza mapenzi ukubwani.

4. Ni Ushamba kutongoza tongoza kila mwanamke unayemuona. Huu ni ulofa uliovuka mipaka. Wanaume wanaotongoza tongoza wanawake ovyo mara nyingi hawana nguvu za kiume.

5. Ni Ushamba na Ulofa kutamani kitu usiokuwa na uwezo kukipata. Yaani unakuta jitu linatamaa na vitu vikubwa wakati akili yake ndogo.

6. Ni Ulofa kushabikia mambo yasio na maana kama Mpira wa nje, Dini kutoka Ulaya na uarabuni. Ndio maana Afrika tunaitwa manyani.

7. Ni Ulofa na Ushamba Kutumia majina ya mataifa mengine kama Michael, Andrew, Janet, Sophia, Mwanaisha, Ashura n.k.

8. Ni Ulofa na Ushamba kutamani na kudharau kazi ya mtu mwingine ambaye humpi hata Mia kuendesha maisha Yake.

9. Ni Ulofa na Ushamba kumsikiliza mwanamke Kwa kila kitu. Labda uwe ndani ya jeneza.

Wakuendelea aendelee

Kwa hisani ya kiumeni
Kukejeli watu kutokana na jinsia na kabila kama ulivyoanza hapo kwa "mwanamke wa Kizaramo" nako ni ushamba na ulofa.
 
wewe bwege nn jina langu limefuata nn hapo,halafu namba 3 ina kaukweli waongaji wakubwa ni majitu yasiyojua kutongoza..ingawa kumpa demu wako kias fln cha pesa ina raha yake hasa ukipata demu anayejielewa
 
Kwa hisani ya kiumeni.

4. Ni Ushamba kutongoza tongoza kila mwanamke unayemuona. Huu ni ulofa uliovuka mipaka. Wanaume wanaotongoza tongoza wanawake ovyo mara nyingi hawana nguvu za kiume.
Wana nguvu za tiger ndio maana wanatongoza
 
Kukejeli watu kutokana na jinsia na kabila kama ulivyoanza hapo kwa "mwanamke wa Kizaramo" nako ni ushamba na ulofa.
Sante sana! Sante sana. Mkuu. Rais Mkapa hakuwa mbali na ukweli alipoita watanzania ni malofa
 
Back
Top Bottom