Huu ni Ushamba na ulofa.

Huu ni Ushamba na ulofa.

1.Ni Ulofa kutaka Watu waishi Ww Unavyoona ni sahihi kwako.

2.Ni ulofa Kuamini katika Mitando ya Jamii Kwamba Unaweza Kujiexpose kila Kitu mpaka Picha zako personal.


My take.
Samahani hizo namba zinapatikana wap ? Nahitaji mbili tu za kutongozana Usiku wa leo .. nitakurudishia Feedback...ili Povu likutoke zaidi.

We ni nani hata ujifiche. Watu wanatumia Fake ID ndio maana wanaweza kuandika hata matusi humu. Kama mtu hutaki kujiexpose si uache kabisa Kutumia hiyo mitandao ya kijamii
 
Uhuru ndio ukichaa huo mkuu.

Kwani bila fake ID huwez kuwa huru?

Ulofa ndio unasumbua watu. Kuonyesha tabia yako ndio ikunyime uhuru?
Wewe picha za watu unazitakia nini? Huku hatujaja kuangaliana sura... Ukitaka hiyo nenda fesibuku na instagramu... Sura zimejaa kibao. Hatutafuti marafiki huku... Mwendo wa kutoa hoja tu
 
1.Ni Ulofa kutaka Watu waishi Ww Unavyoona ni sahihi kwako.

2.Ni ulofa Kuamini katika Mitando ya Jamii Kwamba Unaweza Kujiexpose kila Kitu mpaka Picha zako personal.


My take.
Samahani hizo namba zinapatikana wap ? Nahitaji mbili tu za kutongozana Usiku wa leo .. nitakurudishia Feedback...ili Povu likutoke zaidi.
2. Ni utoto sana!
 
iyo no 5, umeandika ujinga mkubwa kupindukia, hakuna ambacho akili ya binadamu imetaman alaf ikakosa kukipata,all u need to have ni burning desire,persistence and faith ,ivo tu mengine yote yatakuja yenyewe,so apo rekebisha mkuu
Huwez pata kitu ambacho huwezi kukipata mkuu. Hivyo ni kichaa pekee anayeweza kutamani kitu ambacho hawez kukipata
 
Wewe picha za watu unazitakia nini? Huku hatujaja kuangaliana sura... Ukitaka hiyo nenda fesibuku na instagramu... Sura zimejaa kibao. Hatutafuti marafiki huku... Mwendo wa kutoa hoja tu
Huo ndio Ulofa unaozungumziwa hapa.
Unafikiri Kwa nini kuna sehemu ya Username mkuu?
 
Huwez pata kitu ambacho huwezi kukipata mkuu. Hivyo ni kichaa pekee anayeweza kutamani kitu ambacho hawez kukipata
ouky nshajua naongea na mtu wa namna gn, sikia kijana km kwel kitu umeamua kukipata hakuna kisichoshindika mfano,wewe jiulize mtu wa kwanza kudiscover simu we unadhan jamii ya kipind hicho ilimchuliaje! km sio kichaa,but today we have been there because of him, huo ni mfano tu so, we jiulize km huyo amepata vp hawa wanaotaman magar na vitu vingine ambavyo ni vya kawaida sana, make it outta box mkuu, funguka kifikra
 
Hakuna kitu kama Taifa duniani. Hizi ramani za nchi tulichorewa na wazungu. Dunia haina nchi. Hakuna mipaka. Mipaka iko kichwan kwako
 
kwahiyo hadi mm nawewe??????love

Ndio hivyo My.

Ukiwa Chama cha matapeli wewe ni lofa.
Chama cha Denge na matapu tapu Lofa.

Yaani kushabikia Jambo ambalo hupati faida yoyote ni Ulofa tuu.

Muulize B. M
 
ouky nshajua naongea na mtu wa namna gn, sikia kijana km kwel kitu umeamua kukipata hakuna kisichoshindika mfano,wewe jiulize mtu wa kwanza kudiscover simu we unadhan jamii ya kipind hicho ilimchuliaje! km sio kichaa,but today we have been there because of him, huo ni mfano tu so, we jiulize km huyo amepata vp hawa wanaotaman magar na vitu vingine ambavyo ni vya kawaida sana, make it outta box mkuu, funguka kifikra


Mkuu soma vizuri mkuu.

Kila kitu ni Ubatili na kujilisha upepo. Huo ndio Ulofa.
 
Kwa hisani ya kiumeni.

1. Tabia ya kuchukua namba watu humu ndani na baadae kuwasiliana kisha mkishindwana huko unakuja kumwaga umbea wako kama mwanamke wa kizaramo ni Ushamba na ulofa.

2. Kuweka Profile isiyo yako. Yaani kumweka mwanaume mwenzako au mwanamke mwenzako ni Ushamba na ulofa. Bora umuweke Mama, mke, mume au ndugu yako kuliko kuweka watu ambao hujawahi hata kuwaona ana Kwa ana na ukizingatia ni wazungu. Unamuweka mtu ambaye yeye akiambiwa akuweke kwenye Dp yake hatakuweka. Kama unatabia hii wee ni kichaa usiyejitambua.

3. Unahonga wanawake ambao na unajiona ni mwanaume. Wewe ni chizi uliyebakiza kuokota makopo. Ni Ushamba kuhonga mwanamke ambaye si Mke wako. Na hii hutokea Kwa wanaoanza mapenzi ukubwani.

4. Ni Ushamba kutongoza tongoza kila mwanamke unayemuona. Huu ni ulofa uliovuka mipaka. Wanaume wanaotongoza tongoza wanawake ovyo mara nyingi hawana nguvu za kiume.

5. Ni Ushamba na Ulofa kutamani kitu usiokuwa na uwezo kukipata. Yaani unakuta jitu linatamaa na vitu vikubwa wakati akili yake ndogo.

6. Ni Ulofa kushabikia mambo yasio na maana kama Mpira wa nje, Dini kutoka Ulaya na uarabuni. Ndio maana Afrika tunaitwa manyani.

7. Ni Ulofa na Ushamba Kutumia majina ya mataifa mengine kama Michael, Andrew, Janet, Sophia, Mwanaisha, Ashura n.k.

8. Ni Ulofa na Ushamba kutamani na kudharau kazi ya mtu mwingine ambaye humpi hata Mia kuendesha maisha Yake.

9. Ni Ulofa na Ushamba kumsikiliza mwanamke Kwa kila kitu. Labda uwe ndani ya jeneza.

Wakuendelea aendelee

Kwa hisani ya kiumeni
Sawa dada yetu tumekuelewa na Ujinga wako
 
Hakuna kitu kama Taifa duniani. Hizi ramani za nchi tulichorewa na wazungu. Dunia haina nchi. Hakuna mipaka. Mipaka iko kichwan kwako



Mkuu bado hujaelewa Somo. Naomba urudie kusoma vizuri hiyo matini
 
Sawa dada yetu tumekuelewa na Ujinga wako

Akili yako ndogo kuliko hata ya nzi imeshindwa kujua hata falsafa ya alieandika ni mwanaume au mwanamke mpaka uniite Dada. Wee kweli Lofa.

Ukisoma matini yoyote utulie sio uwe kama umekurupushwa na mkojo wa asubuhi
 
Back
Top Bottom