benteke
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 1,305
- 1,069
Huu ni upuuzi wa hali ya juu, wakati unaanza mahusiano na mtu uliyemzidi elimu ukiwa huna kitu ,vumbi limekujaa mpaka kwenye kope za macho hukuona kwamba sio level yako.
Leo hii umepata ajira nzuri unapigana vikumbo na wasomi wenzako huko ofisini unaanza kumdharau mke/mme wako.
Nimechukia sana kuna dada hapa kila kukiwa na shughuli ya ofisi anamtosa mme wake, alafu jamaa yake mtu poa sana namjua.
Inanitia hasira sana.
Leo hii umepata ajira nzuri unapigana vikumbo na wasomi wenzako huko ofisini unaanza kumdharau mke/mme wako.
Nimechukia sana kuna dada hapa kila kukiwa na shughuli ya ofisi anamtosa mme wake, alafu jamaa yake mtu poa sana namjua.
Inanitia hasira sana.