Huu ni ushamba mkubwa sana

Huu ni ushamba mkubwa sana

Mapenziiiii???
Tamaa na kutokuwa na uwoga na Mungu. Kutojiamini na kutojikubali............

"she is a problem, I am fixing the problem". sauti ya Dadake sarah kwenye ORPHAN BLACK huku akiwa kamweka kwenye target ya lens ya bunduki yake sawia kwa kumlipua msichana anaeonekana kufanya mapenzi na mpenzi wa dadake.

Natamani kuiona hiyo movie
 
Huu ni upuuzi wa hali ya juu.....wakati unaanza mahusiano na mtu uliyemzidi elimu ukiwa huna kitu ,vumbi limekujaa mpaka kwenye kope za macho hukuona kwamba sio level yako......leo hii umepata ajira nzuri unapigana vikumbo na wasomi wenzako huko ofisini unaanza kumdharau mke/mme wako. Nimechukia sana kuna dada hapa kila kukiwa na shughuli ya ofisi anamtosa mme wake. alafu jamaa yake mtu poa sana namjua. Inanitia hasira sana.

usikute huyo kaka ndo kamtoa mpaka anafikia hatua hiyo.
 
yaelekea huko ofisini kwenu kukiwa na shughuli ana kamchepuko kakeeee...ndo maana hataki jamaa afahamiane na wafanyakazi wa ofisini kwenu
 
Huu ni upuuzi wa hali ya juu.....wakati unaanza mahusiano na mtu uliyemzidi elimu ukiwa huna kitu ,vumbi limekujaa mpaka kwenye kope za macho hukuona kwamba sio level yako......leo hii umepata ajira nzuri unapigana vikumbo na wasomi wenzako huko ofisini unaanza kumdharau mke/mme wako. Nimechukia sana kuna dada hapa kila kukiwa na shughuli ya ofisi anamtosa mme wake. alafu jamaa yake mtu poa sana namjua. Inanitia hasira sana.

mapenzi hayalazimishwi, ka alipendwa kipindi kile si lazima apendwe sa hizi... ushauri wa bure mwambia achape lapa kabla jumba bovu halijamuangukia
 
"Maskini akipata ------ hulia bwata" Wahenga walishasema mkuu
 
unajuaje labda jamaa ndio hapendi kujichanganya na nyie!!!!
 
Matatizo haya yapo kwa KE. mume Phd kumuoa std 7 hakuna tatizo lakin KE awe na kidigree kimoja tu kuolewa na std 7 hapo ni ishu kubwa
 
Vurugu za mapenzi hazitaisha. Magatuso na Mabaloteli wengi sana uwanjani.
 
Kuna uhusiano gani kati ya kujua kingereza na kuwa msomi??
 
Binadamu ndivyo walivyo jamaa yangu mmoja alisaidiwa sana na house girl mmoja akimhadaa kuwa atamuoa , alipopata kazi mambo yakawa poa akamtosa mbaya kuwa sio level yake

mshanajr nimecheka sana, siyo ma house girl pekee tu wengi tu wanatapeliwa
 
Last edited by a moderator:
hahahaaaa raha sanaaa...soma na wewe nyambafu...
nikomae mimi enzi hizo leo utake twende sawa...inahuu
 
Alikuwa ni level yake kwa wakati huo alipokuwa anakula vumbi na sasa hiv yupo kwenye kiyoyozi. Dont u see the difference?

safi sana umemaliza kila kitu...yu wapi@Kaizer wangu
 
aaah kaz kwel kwel pole yake,hivi vitu vipo sana na ukivifuatilia utaumwa kichwa,mwingine anakwambia nije nae kwenye party ya wasomi ataongea nini wakati kiingereza chenyewe hajui,yani mtu anamuonea aibu mke/mme wake unakuta hawezi kupeleka mfanyakazi mwenzake nyumbani hasa kama yule mfanyakazi mwenzake hajui kiswahili

kumbe msomi ni yule anayeongea kingereza....:sly::sly:
div6 never end🙁🙁
 
Huu ni upuuzi wa hali ya juu.....wakati unaanza mahusiano na mtu uliyemzidi elimu ukiwa huna kitu ,vumbi limekujaa mpaka kwenye kope za macho hukuona kwamba sio level yako......leo hii umepata ajira nzuri unapigana vikumbo na wasomi wenzako huko ofisini unaanza kumdharau mke/mme wako. Nimechukia sana kuna dada hapa kila kukiwa na shughuli ya ofisi anamtosa mme wake. alafu jamaa yake mtu poa sana namjua. Inanitia hasira sana.
tatizo ni kuwa siku hizi watu wanataka ready made wanaharaka mno wanashindwa kuelewa unaweza kutengeneza chako, kama mwenzio hana elimu mpeleke shule, kama ni muonekano wake huupendi mnunulie viwalo, mtengeneze hakuna asiyetengenezeka ila wengine wanachukua muda kubadilika uvumilivu unahitajika, wanasema ukiona vya elea vimeundwa, unda vyako.
 
Back
Top Bottom