Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,468
hakuna kinachoboa hapo...hiyo iwe kama changamoto ya kukomaa na wewe
na wewe utanifanyia hivyo?
hakuna kinachoboa hapo...hiyo iwe kama changamoto ya kukomaa na wewe
Mkuu...ni series nzuri sana. Tafuta utaenjoy kama ni mpenzi wa series za namna hii na zenye viwango.Natamani kuiona hiyo movie
na wewe utanifanyia hivyo?
kwako siwezi hata kidogo ila kwa mwingine naweza kbs
benteke, unajuaje mumewe ni mtu poa? Labda mkubwa kwa nje kwa ndani mdogo? So kishajiopolea mkubwa mwenzie kwa ndani hapo kazini, anaogopa kumkwaza.
yaelekea huko ofisini kwenu kukiwa na shughuli ana kamchepuko kakeeee...ndo maana hataki jamaa afahamiane na wafanyakazi wa ofisini kwenu
Mwanaume kulialia sio issue...kama vipi piga chini kuanza upya si ujinga
Hii lugha imenikumbusha mbali sana.Acha nanyie mfanyiwe makolokocho mara moja moja sio mbaya....
Mkuu hizo gharama za kuanza upya wazijua wewe?
usilichukulie hili suala kirahisi rahisi...
Life is never measured by what we say, but what we do.
hapo kulikuw hakun mapenzi toka mwanzo bt demu alifata fursa tu...Huu ni upuuzi wa hali ya juu, wakati unaanza mahusiano na mtu uliyemzidi elimu ukiwa huna kitu ,vumbi limekujaa mpaka kwenye kope za macho hukuona kwamba sio level yako.
Leo hii umepata ajira nzuri unapigana vikumbo na wasomi wenzako huko ofisini unaanza kumdharau mke/mme wako.
Nimechukia sana kuna dada hapa kila kukiwa na shughuli ya ofisi anamtosa mme wake, alafu jamaa yake mtu poa sana namjua.
Inanitia hasira sana.