Huu ni ukweli usiopingika kuhusu dini

Huu ni ukweli usiopingika kuhusu dini

Nimeamua kumfata Yesu, Nimeamua kumfata Yesu..
Sitarudi, sitarudi...
Kama ya imani yalikuwa ni maneno mzuri yaliyotangulia yakimpa mtu tumaini na amani, naona haya ni bora mara elfu kuliko maneno lukuki yanayofuata na yasiyo na chembe ya tumaini wala amani kwa anayeyasoma.
Neno moja nalishika... NI HERI NIAMINI KATIKA MUNGU HALAFU NISIMKUTE, KULIKO NISIAMINI KATIKA MUNGU HALAFU NIMKUTE.

Naona battle ipo hivi mara nikishavuruga kumuamini Mungu hata nikikataa uwepo wa shetani tayari nitakuwa nimempa shetani ushindi wa mezani.
Vita ya kupambana na waamini Mungu ndiyo inayoongeza idadi kubwa ya Waamini Mungu na wapinga Mungu hubaki wameduwaa, how come!!!??
Upagani ni Imani, kutokumuamini Mungu ni imani, na KUMUAMINI MUNGU NI IMANI, na kila Mtu achague cha kuamini na kama anachokiamini kina NGUVU kubwa awe na hakika watu wengine wataunganika kuamini hicho.
Asante!
mungu hakuna kama square root of negative
 
Astromer the great kwa kutumia neno "hawezi" maana yake unampangia yapi afanye na yapi asifanye. Lakini bahati nzuri ni kwamba Mungu hufanya kulingana na mapenzi yake, siyo mapenzi yako au yetu.
Ugonjwa kitu gani kwa Mungu?
Mungu hatishiwi na mtu kuteseka mwili kwani alishauumba mwili kwa udongo akimaanisha ameruhusu madhaifu juu ya mwili nyama ili majisifu yetu yawe na mpaka.
Lakini Mungu ameweka kipaumbele kwenye mwili wa roho usiotafunika mavumbini sawasawa na mwili wa nyama.
 
Astromer the great kwa kutumia neno "hawezi" maana yake unampangia yapi afanye na yapi asifanye. Lakini bahati nzuri ni kwamba Mungu hufanya kulingana na mapenzi yake, siyo mapenzi yako au yetu.
Ugonjwa kitu gani kwa Mungu?
Mungu hatishiwi na mtu kuteseka mwili kwani alishauumba mwili kwa udongo akimaanisha ameruhusu madhaifu juu ya mwili nyama ili majisifu yetu yawe na mpaka.
Lakini Mungu ameweka kipaumbele kwenye mwili wa roho usiotafunika mavumbini sawasawa na mwili wa nyama.
Mtumishi hapo ndipo napochoka udongo + magic= adam yaan kirahisi kama hivi we unashahidi gani kama mtu wa kwanza ni adam na je alitokana na mavumbi gani yana compound gani?
 
Mawazo yako yanathibika juu ya kichwa chako kuwa Mungu hayupo!
Haina shida ni haki yako kuamini hivyo, kwa kuwa hata imani katika Mungu haishurutishi mtu kuamini sawasawa na
Yohana 1:12-13
So mr astronomer endelea kupinga uwepo wa Mungu ili uendelee kuwavuta watu wengi zaidi kwa Mungu, kwani hata nawe pia wamuhubiri Mungu.
 
mstari wa 28 hausemi ivyo embu soma biblia yako vizuri au umechukua tuu Tango pori bila kulichunguza?
Matthew 16:28
Truly I say to you, There be some standing here, which shall not taste of death, till they see the Son of man coming in his kingdom.
 
Mawazo yako yanathibika juu ya kichwa chako kuwa Mungu hayupo!
Haina shida ni haki yako kuamini hivyo, kwa kuwa hata imani katika Mungu haishurutishi mtu kuamini sawasawa na
Yohana 1:12-13
So mr astronomer endelea kupinga uwepo wa Mungu ili uendelee kuwavuta watu wengi zaidi kwa Mungu, kwani hata nawe pia wamuhubiri Mungu.
Mkuu hiyo nguvu iliyokuwepo ktk akili yako ni kubwa sana nyie mnaita imani itumie vizuri wala huitaji kuwa na mungu labda nikuulizie embu nitajie faida za mungu hapa duniani?
 
papa alisema neno mwaka huu kuwa hakuna motoni bali roho hupotea tu, na hii kitu huwa naiamini kwa asilimia kadhaa koz wazungu na historia yao wameweka vitisho vingi sana kwenye swala la imani. kama vile sadaka ilikuwa ni lazima kutoa na unapigwa ila wakuu walikaa wakaitengua sheria.
hadi ukristo unaingia Afrika kwenye karne ya 19 waafrika hawakuwa wamefunuliwa juu ya kuwepo kwa jehanamu au mbingu pamoja na kuamini kuwepo kwa mungu yaani supernatural power. kwa asili waafrika waliamini maisha baada ya kifo na hivo wafu wote hugeuka mizimu iishiyo.
Sasa ni kwa nini Mungu aliwachelewesha kiasi hiki waafrika kumjua kwa jinsi ya wazungu wamjuavyo?
unaweza kuamin uwepo wa Mungu lakini si kwa maelezo yaliyopo sasa
 
Matthew 16:28
Truly I say to you, There be some standing here, which shall not taste of death, till they see the Son of man coming in his kingdom.
Ndio na hilo andiko ndo nikakwambia ilo andiko lilikua linamuhusu Mwanafunzi wa Yesu yohana ambae alimwona yesu akiwa katika ufalme wake nkakuwekea usome injili ya yohana 21;20-24 pia soma ufunuo wa yohana 1;9-20 Roho mtakatifu akuongoze utaelewa tuu
 
Nitamuelewesha kuwa kuchukia jambo bila ya sababu ya msingi ni sawa na kupenda na pia kupenda jambo bila ya sababu ya msingi ni sawa na kuchukia,akiendelea kunichukia ujue atakuwa na tatizo la akili
Hahaah sasa hivyo Mungu ndivyo anavyo fanya! Kasema chagua njia nzuri ili uishi.
 
Ule mfano wako nani baba nani mtoto?
Hiyo ni jinsi Mungu anavyo tuchukulia kama watoto wake. Ikiwa wewe binadamu unatoa huku kwa mwanao ambaye wewe mwenyewe huijui kesho yako wala ya huyo mwanao, unatoa hukum ya mtoto wako, naunasema kama hakutii atakuwa amepungukiwa na akili. Je hukum ya Mungu itakuwaje kwa wale ambao hawa mtii?
 
pambana na hali yako
Africa tumepokea hizo kama ni za hapa lakini kwao wala hawasali mbaya zaidi akisali mpagani ili mvua ije na inakuja Ila wewe unaiamini dini holaaaa
hahahaha..aiseee
 
Back
Top Bottom