Huu ni ukweli usiopingika kuhusu dini

Huu ni ukweli usiopingika kuhusu dini

Mkuu Mungu yupo na hana upendeleo! Unasema mbona kuna matajiri sana na maskini sana, hivi unadhani tajiri ana ponda raha sanaaa kuliko maskini? Usilo lijua ni kwamba tajiri hana raha kabisa siku zake ni maangaiko yasiyo isha. Jiulize wewe pengine hapo ulipo una afya nzuri macho yako na mikono yako vyote vinashuhudia jinsi unavyo mponda Mungu aliyekupa hivyo vyote. Ange kuwa anaupendeleo au hukum yake ni kama binadam si sahivi ange kufanya kipofu?

Kwanini kuna watu wapo Ocean Road wanaumwa kansa nzito nzito na wewe uko nyumbani kwako una afya tele.Tena wengine waliopo kule ni wema mbele za Mungu kuliko hata wewe

Kwanini wale waumwe wewe uwe na afya njema?
 
naamini vipi wkati nikitabu kinachojipinga chenyew...na wewe unajua kabisa kuwa sikiamini"" lakini sio kilichokufanya mpaka uniulize ninini ??
Unajua maana ya kujipinga?

wapi biblia imejipinga?
 
Nimekuuliza imani ipi unamaanisha!?

Hata kusema kuwa baadae ntakula ni imani pia maana huna uhakika kama utafanya hivyo.Lolote linaweza tokea kabla ya muda huo na hivyo imani hiyo kufia njiani.
una amini kwamba Mungu aliumba huu ulimwengu?
 
Unajua maana ya kujipinga?

wapi biblia imejipinga?
wewe Jamaa mbona unapenda kudiscus "" vitu ambavyo tumeshavitolea maelezo Humu"' hebu jaribu kupitia nyuzi zote zinazo husu" haya masuala ya dini .utapata majibu ya unachouliza "' usiwe mgumu wa kutafuta maarifa chief
 
malipo ni hapahapa duniani mzee hakuna cha mbinguni wala cha motoni apa ,tunatishana tu utazani wenyewe washafika uko mbinguni wanakosema
 
wewe Jamaa mbona unapenda kudiscus "" vitu ambavyo tumeshavitolea maelezo Humu"' hebu jaribu kupitia nyuzi zote zinazo husu" haya masuala ya dini .utapata majibu ya unachouliza "' usiwe mgumu wa kutafuta maarifa chief
we kama GT lazima uwe umeisoma biblia na umeimaliza ukaijua sehemu flani zinajipinga sio uwe umekariri au umenukuu sehemu .....ila hata iyo uliomezeshwa ilete ila kinyume na hapo ntakuweka level za wale wanaochukua andiko kama 1kor 15;13-19
 
Kwanini kuna watu wapo Ocean Road wanaumwa kansa nzito nzito na wewe uko nyumbani kwako una afya tele.Tena wengine waliopo kule ni wema mbele za Mungu kuliko hata wewe

Kwanini wale waumwe wewe uwe na afya njema?
Pengine wao wataupata uzima wa milele mimi nita ukosa.
 
wewe Jamaa mbona unapenda kudiscus "" vitu ambavyo tumeshavitolea maelezo Humu"' hebu jaribu kupitia nyuzi zote zinazo husu" haya masuala ya dini .utapata majibu ya unachouliza "' usiwe mgumu wa kutafuta maarifa chief
halafu ujajibu swali nimekuuliza unajua maana ya kujipinga?
 
we kama GT lazima uwe umeisoma biblia na umeimaliza ukaijua sehemu flani zinajipinga sio uwe umekariri au umenukuu sehemu .....ila hata iyo uliomezeshwa ilete ila kinyume na hapo ntakuweka level za wale wanaochukua andiko kama 1kor 15;13-19
hahaaa wewe Jamaa bhana" kwahiyo mtu ambaye ni budha " ambaye hana ufahamu wowote kuhusu biblia lakini ameweza kugundua bicycle (mfano) hapaswi kuitwa GT ...aisee..kazi kweli kweli "" nimeshindwa kukujibu hoja yako kutokana na ubusy nilionao muda huu...ndio maaana nikakambia upitie trds mbali mbali zenye maudhui kama haya...mbona zipo nyingi Humu"" au umeshindwa kuzifuatilia mkuu wataka tubishane tu....wajua tangu majuzi tumekuwa tunabishana kuhusu swala hili hili "" kitu ambacho kilipelekea kuuminya muda wangu nakufanya nishindwe kufuatilia taarifa nyingine muhimu zaidi "" katika majukwaa mengine .!!??
 
halafu ujajibu swali nimekuuliza unajua maana ya kujipinga?
aisee...hahaa"" ...NIMEKULA " SIJALA""...kutoa matendo ama kauli inayoonyesha utofauti na ile kauli/vitendo vyako vya awali "" ......ambavyo huwenda ulivitolea ufafanuzi ili vionekane kuwa vilikuwa sahihi"" ......(kutoeleweka )
 
Pengine wao wataupata uzima wa milele mimi nita ukosa.
halafu Mungu hamna sehemu yoyote aliposema
hahaaa wewe Jamaa bhana" kwahiyo mtu ambaye ni budha " ambaye hana ufahamu wowote kuhusu biblia lakini ameweza kugundua bicycle (mfano) hapaswi kuitwa GT ...aisee..kazi kweli kweli "" nimeshindwa kukujibu hoja yako kutokana na ubusy nilionao muda huu...ndio maaana nikakambia upitie trds mbali mbali zenye maudhui kama haya...mbona zipo nyingi Humu"" au umeshindwa kuzifuatilia mkuu wataka tubishane tu....wajua tangu majuzi tumekuwa tunabishana kuhusu swala hili hili "" kitu ambacho kilipelekea kuuminya muda wangu nakufanya nishindwe kufuatilia taarifa nyingine muhimu zaidi "" katika majukwaa mengine .!!??
Nikipitia thread siwezi kuijibu thread ndomana wewe lazima uwepo uilete iyo thead tuianze kuidadavua ndo nilicho maanisha ila kama upo bize ukiwa free utaileta
 
Sijui vilikotoka.Na kutokujua huku hakuthibitishi kuwa huyo Mungu wa vitabuni yupo.

Thibitisha sasa kwamba yupo.
Kama jambo dogo kama hilo hujui hivi hujui kama wewe ulikuwa mfano wa uteute au kama kamasi lakini sasa umekuwa jitu lililo kamilika kimwili tena lenye kuhoji kwamba hakuna Mungu. Dah ni ajabu kweli!
 
aisee...hahaa"" ...NIMEKULA " SIJALA""...kutoa matendo ama kauli inayoonyesha utofauti na ile kauli/vitendo vyako vya awali "" ......ambavyo huwenda ulivitolea ufafanuzi ili vionekane kuwa vilikuwa sahihi"" ......(kutoeleweka )
hahahaha....wapi sasa biblia imejipinga kupishana cha kwanza na cha pili ?
 
hahahaha....wapi sasa biblia imejipinga kupishana cha kwanza na cha pili ?
sehemu nyingi tu ""..…naomba jione unikumbushe nikiwa sipo busy nikuletee fact hapa....muda huu Nipo tight
 
halafu Mungu hamna sehemu yoyote aliposema

Nikipitia thread siwezi kuijibu thread ndomana wewe lazima uwepo uilete iyo thead tuianze kuidadavua ndo nilicho maanisha ila kama upo bize ukiwa free utaileta
umeeleweka ""
 
Back
Top Bottom