Huu ni ukweli usiopingika kuhusu dini

Huu ni ukweli usiopingika kuhusu dini

Mkengeukege kimya kimya jamani sasa ndio nini kutukengeusha wote
 
Kama hakuna Mungu kuna nini!! Nawewe umejuaje hayo mengine ni uongo??
Ukweli ni jambo lolote ambalo ki uhalisia hutakiwi kulithibitisha lenye lipo lina dalili nying la kuonyesha kuwepo kwake na uwongo kinyume hayo maana tunasema dini ni uwongo kwa kuwa mungu hayupo,thibitisha mungu yupo kama wewe unasema kweli
 
Ukweli ni jambo lolote ambalo ki uhalisia hutakiwi kulithibitisha lenye lipo lina dalili nying la kuonyesha kuwepo kwake na uwongo kinyume hayo maana tunasema dini ni uwongo kwa kuwa mungu hayupo,thibitisha mungu yupo kama wewe unasema kweli
Mungu yupo kwa sababu yaliyo fanywa nae yapo! Pia shetani yupo maana mawakala wake wapo tunaishi nao.
 
Sawa sema wewe tujifunze
You can't prove the absence of something that doesn't exist,but you prove the something that exist,Mimi nasema hakuna mungu ni kazi ya beleiver Ku prove uwepo wake beyond reasonable doubts and with logical consistence and not other wise,na wewe kutokujua nature ya kitu flan kuwepo doesn't mean bas mungu ndo kakifanya [emoji23] [emoji23] [emoji23] ,prove kwamba mungu ndo kakifanya ,period
 
You can't prove the absence of something that doesn't exist,but you prove the something that exist,Mimi nasema hakuna mungu ni kazi ya beleiver Ku prove uwepo wake beyond reasonable doubts and with logical consistence and not other wise,na wewe kutokujua nature ya kitu flan kuwepo doesn't mean bas mungu ndo kakifanya [emoji23] [emoji23] [emoji23] ,prove kwamba mungu ndo kakifanya ,period
Sawa muingereza! Nimekusoma.
 
kwa

ukisoma biblia ili utafute makosa bila kuangalia muktadha utaona makosa mengi tuu kwa upande wako kwani wewe utakua unataka kuoanisha kila kitu bila kuangalia mazingira
kama ni maneno ya mungu kwa nini yasiwe kamili
kwa nini yahitaji tafsiri ya binadamu!!!
nani kakupa mamlaka ya kutafsiri kilichoandikwa kwa mawazo yako?
 
kama ni maneno ya mungu kwa nini yasiwe kamili
kwa nini yahitaji tafsiri ya binadamu!!!
nani kakupa mamlaka ya kutafsiri kilichoandikwa kwa mawazo yako?
Yesu mwenyewe alikua anafundisha kwa mifano watu wenye mawazo kama nyie mtazame wala msipate kuona mamlaka katupa mwenyewe Yesu kupitia Roho mtakatifu
 
kama ni maneno ya mungu kwa nini yasiwe kamili
kwa nini yahitaji tafsiri ya binadamu!!!
nani kakupa mamlaka ya kutafsiri kilichoandikwa kwa mawazo yako?
mathayo 16:27 alikwambia alikuwa na maana gani?
sentensi ipo clear kabisa
 
vizuri kwa kukubali kumbuka katika mstari wa 28 muktadha ulikua umebadilika hazungumzii tena siku ya hukumu au ya kuja kwake
kwa nini unaweka tafsiri yako wakati kasema wazi hawatakufa kabla hawajauona ufalme wa mbinguni
ufalme wa mbinguni ni nini?
 
Nimeamua kumfata Yesu, Nimeamua kumfata Yesu..
Sitarudi, sitarudi...
Kama ya imani yalikuwa ni maneno mzuri yaliyotangulia yakimpa mtu tumaini na amani, naona haya ni bora mara elfu kuliko maneno lukuki yanayofuata na yasiyo na chembe ya tumaini wala amani kwa anayeyasoma.
Neno moja nalishika... NI HERI NIAMINI KATIKA MUNGU HALAFU NISIMKUTE, KULIKO NISIAMINI KATIKA MUNGU HALAFU NIMKUTE.

Naona battle ipo hivi mara nikishavuruga kumuamini Mungu hata nikikataa uwepo wa shetani tayari nitakuwa nimempa shetani ushindi wa mezani.
Vita ya kupambana na waamini Mungu ndiyo inayoongeza idadi kubwa ya Waamini Mungu na wapinga Mungu hubaki wameduwaa, how come!!!??
Upagani ni Imani, kutokumuamini Mungu ni imani, na KUMUAMINI MUNGU NI IMANI, na kila Mtu achague cha kuamini na kama anachokiamini kina NGUVU kubwa awe na hakika watu wengine wataunganika kuamini hicho.
Asante!
 
Back
Top Bottom