Nilivyorudi nilisahau kila kitu
Hiyo number 7 ndio najua ni ugonjwa na dawa yake mpe opener iwe ni key holder yake. Hizo nyengine ni kawaida
Nimejikuta nacheka tu!
Tinna mzima? Sijakuona kwa mda kidogo
Me mzima,,,,,,,,, yeah! Nilipotea kdg majukumu.
anafungua soda kw meno"! lazima alishawahi kuwa baa medi.