Huu ni ufisadi kwa Wizara ya Madini

Tajiri Tanzanite

JF-Expert Member
Oct 23, 2016
2,070
3,705
Hapo VIPI!

napenda kuipongeza serikali ya awamu ya tano, Kwa kujinasibu kuwa serikali ya wanyonge,inayowatetea,kuwawezesha,kuwashirikisha na kuwapa kipaumbele maskini katika fursa mbalimbali.

Pili, nasikitika kuona mazingira ambayo yanapingana na sera ya serikali yetu ya awamu ya tano inayojinasibu juu ya watu wa chini,nikimaanisha na wafanyabiashara wadogo n. K

Ngoja niingie moja kwa moja katika mada husika.

Kuna mchakato unaondelea wa kutaka brokers wote wa Madine na hawa wafanyabiashara wa chini wa Madine wakate leseni, nijambo jema sipingi huu mchakato.

Lakini katika mchakato huu kuna mazingira ambayo sio rafiki kwa walengwa na inalenga kuwanyonya na kuwanyag'anya vimitaji vyao vidogo badala ya kuwawezesha wahusika.

Leo hii mfanyabiashara wa Mundara au Loliondoo ambao wengi wao wanavimitaji vidogo vidogo (50,000tsh-1,000,000tsh)anaambiwa akakate leseni interm of dola,tena kwa dola 125... Inasikitisha sana ....inamaana pesa zetu hazina thamani ?

Huyu Brocker ambaye ni middleman anayetegemea kudalalia jiwe la sh elfu ishirini,elfu 50,laki,nakuendelea anategemea apate at least chochote hapo na pia anaweza asipate kabisa, hata Week tatu hajaona chochote, leo unamuambia akakate leseni kwa dola imagine..

Huyu mfanyabishara wa Mundara au Longindo au Loliondoo, ambaye hajui kusoma na kuandika unamubia afanye transaction zake interm of dola... Guys are you serious..? Tafsiri yake hamja fanya research mkajua nature na life standards ya wahusika na income yao kwa ujumla.
Najiuliza swali hivi kama wafanyabiashara wakubwa hawalipi kodi kwa dola, iweje kwa huyu mmasai wa waliondoi mwenye mtaji mdogo ambiwe akalipie leseni kwa dola?

Kwanza mazingira wanaifanyia kazi ni kama wamama wanaopanga nyanya pale soko kuu.. Imaging income yao.

Wahusika tunahitaji ufafanuzi juu ya hili..njooni Otu Arusha mpate ukweli juu ya hili.
IMG_20180615_133229.jpg

IMG_20180614_162439.jpg


Nb.sipingani na utaratibu wa kukata leseni bali tunataka huu mchakato uwe rafiki na walengwa
 
Shame on you arifu
Nimefurahi hilo la dollar umelieleza vizuri. Lakini hoja haikuwa kuchenji dollar bali kutumia dollarkama fedha inayotumika kukatia Leseni. Kama mleta mada ana ushahidi alete ili tuone yeye hayo ya kulipia kwa dollar kayatoa wapi.

Kuhusu kodi usishangae watu kulalamika maana hata Makonda nae alitaka asamehewe kodi.
 
Kanunue dola kwani shida iko wapi, dola ziko tele bureau de change mjini kote! Lipa kodi kwa maendeleo ya Taifa.
 
Kanunue dola kwani shida iko wapi, dola ziko tele bureau de change mjini kote! Lipa kodi kwa maendeleo ya Taifa.
Hakuna mahali kasema hataki kulipa Kodi, bali kawasemea wengine anaoona itawapa usumbufu!
 
Hapo VIP!!

napenda kuipongeza serikali ya awamu ya tano, Kwa kujinasibu kuwa serikali ya wanyonge,inayowatetea,kuwawezesha,kuwashirikisha na kuwapa kipaumbele maskini katika fursa mbalimbali.
Pili, nasikitika kuona mazingira ambayo yanapingana na sera ya serikali yetu ya awamu ya tano inayojinasibu juu ya watu wa chini,nikimaanisha na wafanyabiashara wadogo n. K

Ngoja niingie moja kwa moja katika mada husika.

Kuna mchakato unaondelea wa kutaka brokers wote wa Madine na hawa wafanyabiashara wa chini wa Madine wakate leseni, nijambo jema sipingi huu mchakato.


Lakini katika mchakato huu kuna mazingira ambayo sio rafiki kwa walengwa na inalenga kuwanyonya na kuwanyag'anya vimitaji vyao vidogo badala ya kuwawezesha wahusika.


Leo hii mfanyabiashara wa Mundara au Loliondoo ambao wengi wao wanavimitaji vidogo vidogo (50,000tsh-1,000,000tsh)anaambiwa akakate leseni interm of dola,tena kwa dola 125... Inasikitisha sana ....inamaana pesa zetu hazina thamani ?


Huyu Brocker ambaye ni middleman anayetegemea kudalalia jiwe la sh elfu ishirini,elfu 50,laki,nakuendelea anategemea apate at least chochote hapo na pia anaweza asipate kabisa, hata Week tatu hajaona chochote, leo unamuambia akakate leseni kwa dola imagine..


Huyu mfanyabishara wa Mundara au Longindo au Loliondoo, ambaye hajui kusoma na kuandika unamubia afanye transaction zake interm of dola... Guys are you serious..? Tafsiri yake hamja fanya research mkajua nature na life standards ya wahusika na income yao kwa ujumla.
Najiuliza swali hivi kama wafanyabiashara wakubwa hawalipi kodi kwa dola, iweje kwa huyu mmasai wa waliondoi mwenye mtaji mdogo ambiwe akalipie leseni kwa dola?

Kwanza mazingira wanaifanyia kazi ni kama wamama wanaopanga nyanya pale soko kuu.. Imaging income yao.

Wahusika tunahitaji ufafanuzi juu ya hili..njooni Otu Arusha mpate ukweli juu ya hili.
View attachment 813675 View attachment 813675 View attachment 813676 View attachment 813677 View attachment 813675
Nb.sipingani na utaratibu wa kukata leseni bali tunataka huu mchakato uwe rafiki na walengwa
Utaratibu uliokuwepo umezitajirisha sana Kenya na India kwa kutumia Tanzanite yetu.
Watanzania tuamue.
Tuendeleze “business as usual” ili nchi iendelee kuibiwa au zifanyike radical changes ili nchi inufaike?
Hao Brokers ndio wanaopeleka Tanzanite Kenya na India.
Ni vema wakanunue kwenye minada tu.
Kwenye mazao kama korosho na kahawa, Serikali inawakataa, kwa nini kwenye madini inawabariki kwa kuwapata leseni?
Brokers wameiumiza sana nchi yetu!
 
Usumbufu gani maduka ya fedha za kigeni yapo lwaa! Akanunue dola akalipe kodi
Hoja yake siyo dollar peke yake, ametaja pia na viwango vya mitaji vya hao madalali wadogo. Soma vizuri utaona!

Pia siamini kama dalali anayenunua Tanzanite kwa mtaji wa laki moja (100,000) mpaka milioni moja (1,000,000) ndiye anayetorosha Tanzanite kwenda Kenya ama India.
 
Hapo VIP!!

napenda kuipongeza serikali ya awamu ya tano, Kwa kujinasibu kuwa serikali ya wanyonge,inayowatetea,kuwawezesha,kuwashirikisha na kuwapa kipaumbele maskini katika fursa mbalimbali.


Pili, nasikitika kuona mazingira ambayo yanapingana na sera ya serikali yetu ya awamu ya tano inayojinasibu juu ya watu wa chini,nikimaanisha na wafanyabiashara wadogo n. K

Ngoja niingie moja kwa moja katika mada husika.

Kuna mchakato unaondelea wa kutaka brokers wote wa Madine na hawa wafanyabiashara wa chini wa Madine wakate leseni, nijambo jema sipingi huu mchakato.


Lakini katika mchakato huu kuna mazingira ambayo sio rafiki kwa walengwa na inalenga kuwanyonya na kuwanyag'anya vimitaji vyao vidogo badala ya kuwawezesha wahusika.


Leo hii mfanyabiashara wa Mundara au Loliondoo ambao wengi wao wanavimitaji vidogo vidogo (50,000tsh-1,000,000tsh)anaambiwa akakate leseni interm of dola,tena kwa dola 125... Inasikitisha sana ....inamaana pesa zetu hazina thamani ?


Huyu Brocker ambaye ni middleman anayetegemea kudalalia jiwe la sh elfu ishirini,elfu 50,laki,nakuendelea anategemea apate at least chochote hapo na pia anaweza asipate kabisa, hata Week tatu hajaona chochote, leo unamuambia akakate leseni kwa dola imagine..


Huyu mfanyabishara wa Mundara au Longindo au Loliondoo, ambaye hajui kusoma na kuandika unamubia afanye transaction zake interm of dola... Guys are you serious..? Tafsiri yake hamja fanya research mkajua nature na life standards ya wahusika na income yao kwa ujumla.
Najiuliza swali hivi kama wafanyabiashara wakubwa hawalipi kodi kwa dola, iweje kwa huyu mmasai wa waliondoi mwenye mtaji mdogo ambiwe akalipie leseni kwa dola?

Kwanza mazingira wanaifanyia kazi ni kama wamama wanaopanga nyanya pale soko kuu.. Imaging income yao.

Wahusika tunahitaji ufafanuzi juu ya hili..njooni Otu Arusha mpate ukweli juu ya hili.
View attachment 813675 View attachment 813675 View attachment 813676 View attachment 813677 View attachment 813675
Nb.sipingani na utaratibu wa kukata leseni bali tunataka huu mchakato uwe rafiki na walengwa
Application fee for broker licence imeandikwa Tsh 50,000 na sio dola pia licence fee ni Tsh 200,000 na sio dola. Sasa hiyo dola 125 inatoka wapi. Lakini hukatazwi kama unaweza kubadili dola zako zikawa shilingi na ukalipa. Nakushauri kata leseni uwe huru bro. Haiwezekani mama ntilie,wenye maduka madogo, salon za kunyolea tena uchochoroni Sanawari na mbauda wanalipa kodi halafu nyinyi kutwa nzima hapo Ottu mnachenji dola then uanze kulialia eti wanyonge
 
Application fee for broker licence imeandikwa Tsh 50,000 na sio dola pia licence fee ni Tsh 200,000 na sio dola. Sasa hiyo dola 125 inatoka wapi. Lakini hukatazwi kama unaweza kubadili dola zako zikawa shilingi na ukalipa. Nakushauri kata leseni uwe huru bro. Haiwezekani mama ntilie,wenye maduka madogo, salon za kunyolea tena uchochoroni Sanawari na mbauda wanalipa kodi halafu nyinyi kutwa nzima hapo Ottu mnachenji dola then uanze kulialia eti wanyonge. Shame on you arifu

Ngoja nakuwekea evidence soon, mkuu mpaka na resit Ya malipo..
 
Usumbufu gani maduka ya fedha za kigeni yapo lwaa! Akanunue dola akalipe kodi
Kwa nini huduma za serikali tuanze kuendesha kwa dolla Kwa pesa zetu hazina thamani, punde nitaweka ushaidi wa malipo ysliyofanyika kwa dolla
 
  • Thanks
Reactions: MTK
Kwa nini huduma za serikali tuanze kuendesha kwa dolla Kwa pesa zetu hazina thamani, punde nitaweka ushaidi wa malipo ysliyofanyika kwa dolla
Mkuu uko longido!kwanza Mimi imekuwa nikifanya biashara ya Madini kwa muda mrefu na nmekuwa nkitumia brokers license......kuwa na broker license na leseni zingine sijaona kama ni Shida kwa serikali kuwataka wafanya biashara wa Madini wazikate....maana kipindi cha nyuna kila mtu alikuwa anafanya shuguli Hyo bila ya kuwa na leseni y oyote wakati kazi Hyo ni ni professional kama zingine....
Kwenye suala la Bei mbona broker Lic sisi tulikata kwa 250,000/
Any way changamoto kubwa tunayokutana mayo sahv ni serikali kutotoa export license hicho ndicho kinafanya biashara Hiyo kupwaya maana tunakwenda mpaka sasa watu hatujafanya kazi.....
Mawe hayaendi hong kong,india,thaiand etc kwa kitendo hicho kinafanya mazingira kuwa magumu kuanzia watu wa waporini wachimbaji hadi watu kama sisi! na wewe
Maana nje Huko order zimefunguka balaaa

Swali?kama ill mandar hapo vp zoisite(yale maruby block) baso yanapatikana kwa wings?

Unaweza kuja pm tukabonga zaidi

Ova
 
Kwa nini huduma za serikali tuanze kuendesha kwa dolla Kwa pesa zetu hazina thamani, punde nitaweka ushaidi wa malipo ysliyofanyika kwa dolla

Ni kwa sababu tumeacha uchumi wetu ukawa dollarised siku nyingi sana kwa sasa shilingi yetu sio stable, hata hivyo global economic currency ni dollar
 
Kwa wafanyakazi nako kunahabari mpya kwao, sijajua kwa wawekezaji au wamiliki wa migodi watalipokeaje hili?
IMG-20180719-WA0006.jpg
 
Back
Top Bottom