Huu ndo ukweli Mchungu.

Huu ndo ukweli Mchungu.

KanyeWest_Tz

Senior Member
Joined
Jul 18, 2026
Posts
152
Reaction score
300
Baada ya jana mimi kupost humu kuhusu Elevenn watu wamekuwa wakini attack na kunitukana mimi kisa wanadhani hii ID ni yake.

Mimi nimeweka machapisho ya kukwambia mawazo yangu na bado wanakuja na matusi.

Nimejifunza ya kuwa kumbe Elevenn alikuwa sahihi kabisa.

Watu hawapendi kuuiskia ukweli na huumizwa wakisikia wanaamkiwa kile kinacho wa fanya wawe maskini na kukosa maarifa

Mpaka mods wamenifungia kuchangia kisa Elevenn aisee
Screenshot_20260815_091217.jpg


Lakini hebu cheki comment section imejaa watu wengi wenye nongwa na chuki binafsi...

Labda niwaulize nyie..

Ni nani aliyewaroga muwe na nongwa ya kichukizwa na ukweli?

Yaani mnaishia kumtukana mtu kisa kawasema? Ndo maana wazungu wametuzidi kwa kweli, maana wao wanatumia ego zao vyema.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom