Huu ndiyo uongozi sasa baada ya kupatwa kwa miaka mitano iliyopita!

Kuhusu ajira hakika omeongea ukweli mtupu
Mapungufu yapo ktk kila uongozi na yataendelea kuwepo mkamilifu hakuna cha msingi unafuu tu
 
Ni mapema sana kuusifu utawala wa awamu ya LAKINI ni dhahiri sana kuwa katika awamu ya 5, Taifa liliingia kwenye giza nene, la utawala wa ajabu ambao unatakiwa kuwekwa kwenye historia ya Taifa ili vizazi vijavyo vipate kujua kuwa ndani ya Tanzania huru alitokea mtawala dhalimu kuliko hata mkoloni aliyedhalilisha watu, kuteka watu, kutesa, kuua, kupoteza, kuua misingi ya demokrasia na utawala bora, kuharibu mihimili ya Taifa. Mtawala huyo aliua uchumi lakini alitumia vyombo vya habari kuwahadaa wananchi kuwa uchumi ulikuwa unapaa. Na wajinga wengi kwa kupitia propaganda za vyombo vya habari, wakamwamini. Kiongpzi huyo hakuweza kutofautisha kati ya mali yake binafsi na mali ya nchi. Alitumia pesa za serikali kama pesa zake binafsi.
 
Huu ndo uongozi thabiti usio na mbwembwe wala majigambo lakini mambo yanatrndeka kwa kasi. Nakumbuka kipindi cha jpm zilikuwa ni kelele ndo kwa runinga na kuteka watu tu.

Angalia mama anavyomwaga ajira bila makelele ya magazeti eti serikali yamwaga ajira. Tumeshuhudia jeshi la mahereza, polisi na uhamiaji limetangaza ajira kibao lakini hakuba makelele eti kishindo cha awamu ya sita. Ingekuwa kipindi kile magazeti yote na radio zingekoma na habari hii.

JPM alikuwa anadokoa tu ajira lakini duh ilikuwa balaa! Nakumbuka alitangaza kuajiri walimu elfu 13 tu ikawa ndo gumzo la nchi nzima taribani mikutano yote kwamba jpm kamwaga ajira ikawa kama kampain ya kitaifa na baada ya hapo walioajiriwa hawazidi elfu mbili nchi nzima lakini misukule wakajia na kutetea kwamba haiwezekani nchi yoyote kuajiri watu wote, tukawaambia kwa ninj jk aliweza wakasema kulikuwa na upigaji jibu ambalo havina uhusiano kabisa.

Sasa mama anatatua swala la ajira kimyakimya bila makelele na tumerudi enzi za jk ambapo ajiri zilikuwa bwerere kwamba kila kila mhitimu anakuta ajira zipo labda akatae ajira mwenyewe.

Thank you mama and may God bless you. Nchi ilikuwa imepotea.
Mkuu,wanaomchukia mama Ni sukuma gang, na Kuna kundi fulani wao kwao kiongozi Bora hawe mkristo tu,akiwa muislamu Ni nongwa,
 
Huu ndo uongozi thabiti usio na mbwembwe wala majigambo lakini mambo yanatrndeka kwa kasi. Nakumbuka kipindi cha jpm zilikuwa ni kelele ndo kwa runinga na kuteka watu tu.

Angalia mama anavyomwaga ajira bila makelele ya magazeti eti serikali yamwaga ajira. Tumeshuhudia jeshi la mahereza, polisi na uhamiaji limetangaza ajira kibao lakini hakuba makelele eti kishindo cha awamu ya sita. Ingekuwa kipindi kile magazeti yote na radio zingekoma na habari hii.

JPM alikuwa anadokoa tu ajira lakini duh ilikuwa balaa! Nakumbuka alitangaza kuajiri walimu elfu 13 tu ikawa ndo gumzo la nchi nzima taribani mikutano yote kwamba jpm kamwaga ajira ikawa kama kampain ya kitaifa na baada ya hapo walioajiriwa hawazidi elfu mbili nchi nzima lakini misukule wakajia na kutetea kwamba haiwezekani nchi yoyote kuajiri watu wote, tukawaambia kwa ninj jk aliweza wakasema kulikuwa na upigaji jibu ambalo havina uhusiano kabisa.

Sasa mama anatatua swala la ajira kimyakimya bila makelele na tumerudi enzi za jk ambapo ajiri zilikuwa bwerere kwamba kila kila mhitimu anakuta ajira zipo labda akatae ajira mwenyewe.

Thank you mama and may God bless you. Nchi ilikuwa imepotea.
Bado nasubiri mradi wa barabara kimara to kibaha ukamilike naona mapipa tu yamejaa barabarani...vipi barabara ya kawawa kutoka magomeni makandarasi wameendq wapi wanatuachia mashimo?
 
Yaani utamwaga ajira kwa kutegemea pesa ya tozo uliyopora kwa walalahoi, kuna watu vichwa ni vya kufugia nywele tu aisee....
 
N
Huu ndo uongozi thabiti usio na mbwembwe wala majigambo lakini mambo yanatrndeka kwa kasi. Nakumbuka kipindi cha jpm zilikuwa ni kelele ndo kwa runinga na kuteka watu tu.

Angalia mama anavyomwaga ajira bila makelele ya magazeti eti serikali yamwaga ajira. Tumeshuhudia jeshi la mahereza, polisi na uhamiaji limetangaza ajira kibao lakini hakuba makelele eti kishindo cha awamu ya sita. Ingekuwa kipindi kile magazeti yote na radio zingekoma na habari hii.

JPM alikuwa anadokoa tu ajira lakini duh ilikuwa balaa! Nakumbuka alitangaza kuajiri walimu elfu 13 tu ikawa ndo gumzo la nchi nzima taribani mikutano yote kwamba jpm kamwaga ajira ikawa kama kampain ya kitaifa na baada ya hapo walioajiriwa hawazidi elfu mbili nchi nzima lakini misukule wakajia na kutetea kwamba haiwezekani nchi yoyote kuajiri watu wote, tukawaambia kwa ninj jk aliweza wakasema kulikuwa na upigaji jibu ambalo havina uhusiano kabisa.

Sasa mama anatatua swala la ajira kimyakimya bila makelele na tumerudi enzi za jk ambapo ajiri zilikuwa bwerere kwamba kila kila mhitimu anakuta ajira zipo labda akatae ajira mwenyewe.

Thank you mama and may God bless you. Nchi ilikuwa imepotea.
No leader of this era in Tanzania will equal The Late President John Pombe Joseph Magufuli!
 
Unayemsifia kwenye kampeni zilizopita alitetea hoja kwamba wametoa ajira milioni nane kwa miaka minne leo tena imekuwaje
 
Enzi za Magufuli uliuliza swali kama hili?
Majibu yake yalikuwaje
Unataka like au unataka kupata Elimu?
👇🏾
JIBU: Enzi za Magufuri wahitimu walijua in out after certified NO employment.
 
Back
Top Bottom