Huu ndiyo uongozi sasa baada ya kupatwa kwa miaka mitano iliyopita!

Ikitotanzila

JF-Expert Member
Sep 22, 2020
1,409
2,263
Huu ndo uongozi thabiti usio na mbwembwe wala majigambo lakini mambo yanatrndeka kwa kasi. Nakumbuka kipindi cha jpm zilikuwa ni kelele ndo kwa runinga na kuteka watu tu.

Angalia mama anavyomwaga ajira bila makelele ya magazeti eti serikali yamwaga ajira. Tumeshuhudia jeshi la mahereza, polisi na uhamiaji limetangaza ajira kibao lakini hakuba makelele eti kishindo cha awamu ya sita. Ingekuwa kipindi kile magazeti yote na radio zingekoma na habari hii.

JPM alikuwa anadokoa tu ajira lakini duh ilikuwa balaa! Nakumbuka alitangaza kuajiri walimu elfu 13 tu ikawa ndo gumzo la nchi nzima taribani mikutano yote kwamba jpm kamwaga ajira ikawa kama kampain ya kitaifa na baada ya hapo walioajiriwa hawazidi elfu mbili nchi nzima lakini misukule wakajia na kutetea kwamba haiwezekani nchi yoyote kuajiri watu wote, tukawaambia kwa ninj jk aliweza wakasema kulikuwa na upigaji jibu ambalo havina uhusiano kabisa.

Sasa mama anatatua swala la ajira kimyakimya bila makelele na tumerudi enzi za jk ambapo ajiri zilikuwa bwerere kwamba kila kila mhitimu anakuta ajira zipo labda akatae ajira mwenyewe.

Thank you mama and may God bless you. Nchi ilikuwa imepotea.
 
Huu ndo uongozi thabiti usio na mbwembwe wala majigambo lakini mambo yanatrndeka kwa kasi.

Nakumbuka kipindi cha jpm zilikuwa ni kelele ndo kwa runinga na kuteka watu tu.

Angalia mama anavyomwaga ajira bila makelele ya magazeti eti serikali yamwaga ajira. Tumeshuhudia jeshi la mahereza, polisi na uhamiaji limetangaza ajira kibao lakini hakuba makelele eti kishindo cha awamu ya sita.

Ingekuwa kipindi kile magazeti yote na radio zingekoma na habari hii.

Jpm alikuwa anadokoa tu ajira lakini duh ilikuwa balaa!! Nakumbuka alitangaza kuajiri walimu elfu 13 tu ikawa ndo gumzo la nchi nzima taribani mikutano yote kwamba jpm kamwaga ajira ikawa kama kampain ya kitaifa na baada ya hapo walioajiriwa hawazidi elfu mbili nchi nzima lakini misukule wakajia na kutetea kwamba haiwezekani nchi yoyote kuajiri watu wote, tukawaambia kwa ninj jk aliweza wakasema kulikuwa na upigaji jibu ambalo havina uhusiano kabisa.

Sasa mama anatatua swala la ajira kimyakimya bila makelele na tumerudi enzi za jk ambapo ajiri zilikuwa bwerere kwamba kila kila mhitimu anakuta ajira zipo labda akatae ajira mwenyewe.

Thank you mama and may God bless you. Nchi ilikuwa imepotea.
Kwa hili namkubali Mama. Ila Bado sana.
 
Hao watu waliotekwa kipindi cha jpm ni wangapi? Ni wakati gani hii nchi watu hawajawahi kutekwa na kupotea?

Wewe hao elfu 2 ambao waliajiriwa nchi nzima ulifanya sensa yao lini?

Humu ndani kumejaa mataahira. Mtu anatoka huko anajiharishia humu uharo wake.
 
Hao watu waliotekwa kipindi cha jpm ni wangapi? Ni wakati gani hii nchi watu hawajawahi kutekwa na kupotea?

Wewe hao elfu 2 ambao waliajiriwa nchi nzima ulifanya sensa yao lini?

Humu ndani kumejaa mataahira. Mtu anatoka huko anajiharishia humu uharo wake.
Hata akama.akitekwa Mmoja. Injustice anywhere is injustice everywhere
 
Huu uzi ni sawa na zile habari za kapu la mama wakati hela ni ya watanzania waliokamuliwa kodi na tozo.
 
Huu ndo uongozi thabiti usio na mbwembwe wala majigambo lakini mambo yanatrndeka kwa kasi.

Nakumbuka kipindi cha jpm zilikuwa ni kelele ndo kwa runinga na kuteka watu tu.

Angalia mama anavyomwaga ajira bila makelele ya magazeti eti serikali yamwaga ajira. Tumeshuhudia jeshi la mahereza, polisi na uhamiaji limetangaza ajira kibao lakini hakuba makelele eti kishindo cha awamu ya sita.

Ingekuwa kipindi kile magazeti yote na radio zingekoma na habari hii.

Jpm alikuwa anadokoa tu ajira lakini duh ilikuwa balaa!! Nakumbuka alitangaza kuajiri walimu elfu 13 tu ikawa ndo gumzo la nchi nzima taribani mikutano yote kwamba jpm kamwaga ajira ikawa kama kampain ya kitaifa na baada ya hapo walioajiriwa hawazidi elfu mbili nchi nzima lakini misukule wakajia na kutetea kwamba haiwezekani nchi yoyote kuajiri watu wote, tukawaambia kwa ninj jk aliweza wakasema kulikuwa na upigaji jibu ambalo havina uhusiano kabisa.

Sasa mama anatatua swala la ajira kimyakimya bila makelele na tumerudi enzi za jk ambapo ajiri zilikuwa bwerere kwamba kila kila mhitimu anakuta ajira zipo labda akatae ajira mwenyewe.

Thank you mama and may God bless you. Nchi ilikuwa imepotea.
Here we go 👇

Screenshot_20210930-082350.png


Screenshot_20210930-081909.png


Screenshot_20210927-075956.png


Screenshot_20210921-140042.png


Screenshot_20210920-152209.png


Screenshot_20210920-080107.png
 
Kila mwaka wanaostaafu ni wangapi na wanaomaliza vyuo wakisubiri ajira ni wangapi.

Usije kuwa unakurupuka kusifia alafu huna uelewa mpana wa eneo hilo.
Enzi za Magufuli uliuliza swali kama hili?
Majibu yake yalikuwaje
 
Huu ndo uongozi thabiti usio na mbwembwe wala majigambo lakini mambo yanatrndeka kwa kasi. Nakumbuka kipindi cha jpm zilikuwa ni kelele ndo kwa runinga na kuteka watu tu.

Angalia mama anavyomwaga ajira bila makelele ya magazeti eti serikali yamwaga ajira. Tumeshuhudia jeshi la mahereza, polisi na uhamiaji limetangaza ajira kibao lakini hakuba makelele eti kishindo cha awamu ya sita. Ingekuwa kipindi kile magazeti yote na radio zingekoma na habari hii.

JPM alikuwa anadokoa tu ajira lakini duh ilikuwa balaa! Nakumbuka alitangaza kuajiri walimu elfu 13 tu ikawa ndo gumzo la nchi nzima taribani mikutano yote kwamba jpm kamwaga ajira ikawa kama kampain ya kitaifa na baada ya hapo walioajiriwa hawazidi elfu mbili nchi nzima lakini misukule wakajia na kutetea kwamba haiwezekani nchi yoyote kuajiri watu wote, tukawaambia kwa ninj jk aliweza wakasema kulikuwa na upigaji jibu ambalo havina uhusiano kabisa.

Sasa mama anatatua swala la ajira kimyakimya bila makelele na tumerudi enzi za jk ambapo ajiri zilikuwa bwerere kwamba kila kila mhitimu anakuta ajira zipo labda akatae ajira mwenyewe.

Thank you mama and may God bless you. Nchi ilikuwa imepotea.
Mkuu, nakumbuka Mh. Zito Kabwe ashawahi kuzungumza kuwa nchi iliendeshwa na washamba na malimbukeni enzi za zamani hizo.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
JPM alikuwa hapeleki fedha hamashauri, haajiri, haongezi mishahara, hapandishi vyeo kwa kisingizio cha kujenga SGR, Bwawa la umeme, Barabara, madaraja na viwanja vya ndege!! Cha kushangaza Samia anayafanya yote hayo, tena kwa speed kali zaidi ya JPM (JPM alikuwa hapeleki hela kwenye hiyo miradi on-time mf. danadana za airport ya Msalato, kusuasua kwa SGR kwa kipindi chake, kusuasua kwa barabara za Dodoma, majengo ya wizara dodoma, Barabara ya mwondokasi phase 2 ambapo ni juzi tu wafanyakazi waligoma sababu ya kutolipwa since 2020) na bado ajira zinaanza kutoka, watu wamepanda madaraja na mishahara yao kuongezeka na ameahidi kuongeza mishahara kwa wafanyakazi mwaka ujao wa fedha!! JPM alikuwa ni kiongozi wa ajabu sana..
 
Mama Samia Rais Wetu Kipenzi.Tunaomba Wahitimu wa Shahada,Astahada na Stashahada walioomba Kazi ni 1000+ mama Yetu Kipenzi Tunaomba Jeshi la Polisi liwaangalie Hawa watu na kuweza kuwapa Fursa wengi wao.Hakika Mama Utapunguza Sana Tatizo la Ajira mtaani Kwa Wasomi wengi.
 
Back
Top Bottom