technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 13,563
- 57,888
- Thread starter
- #181
Utasikia mtu anakuita Nyumbu......Afu kuna watu bado wana nguvu na jitihada za kutetea sisiem??? Kweli upofu upofu
Utasikia mtu anakuita Nyumbu......Afu kuna watu bado wana nguvu na jitihada za kutetea sisiem??? Kweli upofu upofu
Muulize mkuu wa kaya maana ni karibu na kwao huko bukombe .......Mkuu....
Hapo kwenye # 5, sijaelewa tafadhali fafanua kidogo
Kwanza hakuna mgodi unao itwa Trawaka.Muulize mkuu wa kaya maana ni karibu na kwao huko bukombe .......
Mkuu unawafahamu? Lini alisema atawalinda?Alafu eti tunaambiwa kapatikani mtu fulani anaechukia ufisadi!Kuna ufisadi zaidi ya huu?Pamoja na tuhuma zote hizi bado anasema nitawalinda na nyie mnaamini mmepata mtu aliejitoa mhanga kupingana na ufisadi?Je ,si kajitoa mhanga kulinda mafisadi mapapa?
Anayajua sana tu lakini kufanya maamuzi ndio kazi kubwaIla nahisi Rais huu uzi anao saiz
Rais asaidiwe ila na yeye afanye utafiti maana ana kila aina ya RasilimaliNadhani kama kuna ushauri, msaidieni rais kupambana na hawa watu. Tatizo wengi tumeshaamini huo ni umwamba na hata tunavyoandika ni kama tunawasifia watu wa aina hii kwamba hawagusiki. Hatuonyeshi hasira zetu juu ya aina hiyo ya upuuzi na badala yake ni kama tunamzomea rais aliyeko madarakani, wakati tukielewa yote hayo yametengenezwa wakati wa utawala uliopita.
Mkuu sio kila kitu ni cha kuongeaWewe mtoa siri umeshindwa kuwataja ila unataka rais awashughulikie. Je, akikujumuisha na wewe kwenye ilo kundi atakuwa amekuonea?
NotedJAKAYA KIKWETE, SALMA KIKWETE, Na watoto wao ndio wamiliki wa SIMBA TRUST,
Kwenye Orodha ya wakwapuaji wa Pesa za Escrow Mama Salma anaonekana kuchota pesa.
TSN Supermarket Mama Salma ameonekana.
Jengo la ROCKY CITY MALL -Mama Salma alimwambia Mkuu wa Mkoa Magesa Mlongo kuwa ahakikishe anamtengea Vizimba vyake humo Jengoni-Na ni kweli TSN Ilipewa Vizimba kadhaa
Halotel- Familia ya JK. ina Hisa humo ndani.
Haya IPTL/PAP =JK. Family...
Yaan Urais wa JK. Kwa miaka Kumi ulikuwa ni wa kupiga deal na mke wake pamoja na familia yake na watu wake wa karibu.
Please tueleze huo ukweli unaoufahamu nasi tueleweWe muongo sana.Kuna baadhi ya vitu navifahamu humo vyote umeongopa.Acha utoto
Mso wa Kupiga sogaNani atamfunga paka kengele??
Wataje hao mfisadi mapapaMkuu unawafahamu? Lini alisema atawalinda?
Huo mtandao ndio umemponza msajili wa Hazina, Mr. Lawrence Mafuru .We muongo sana.Kuna baadhi ya vitu navifahamu humo vyote umeongopa.Acha utoto
Watu wengine akili zao ni kama za chura. Anaweza rukia hata motoni. Mada ni nyingine yy anaongea utumbo mwingine!!Fisadi namba moja ni yule alietajwa na slaa mwembe yanga,lakini pia alitajwa na lema,msigwa bila kumsahau dogo mnyika hapa ushahidi upo wazi kupitia watu hao,ila we mleta mada hakuna ushahidi wa ulichosema hapa,zaidi naona unafki tu.