kigogo warioba
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 6,048
- 9,404
mmhh..
Nakumbuka enzi zile Mama Siti alivyopata shida baada Mzee Rukhusa kustaafu ! wabongo noumaa sana.JAKAYA KIKWETE, SALMA KIKWETE, Na watoto wao ndio wamiliki wa SIMBA TRUST,
Kwenye Orodha ya wakwapuaji wa Pesa za Escrow Mama Salma anaonekana kuchota pesa.
TSN Supermarket Mama Salma ameonekana.
Jengo la ROCKY CITY MALL -Mama Salma alimwambia Mkuu wa Mkoa Magesa Mlongo kuwa ahakikishe anamtengea Vizimba vyake humo Jengoni-Na ni kweli TSN Ilipewa Vizimba kadhaa
Halotel- Familia ya JK. ina Hisa humo ndani.
Haya IPTL/PAP =JK. Family...
Yaan Urais wa JK. Kwa miaka Kumi ulikuwa ni wa kupiga deal na mke wake pamoja na familia yake na watu wake wa karibu.
Ha ha ha mkuu , Aya ya mwisho umeniacha hoi sanaWazee wa kujenga jengo la BAKWATA...Wazee wa kupitia Mgongo wa RC Dsm na kulipa Madaktari ili kutoa huduma za Afya bureee Mnazi Mmoja!!Yaani badala ya kuboresha huduma za Hospital,wao wanatengeneza "Bonanza la Kupima Afya za Watu"....
Ndio walewale Wazee wa Reflectors...Waliowakusanya Bodaboda wa Dsm Leaders Club na kuwagawia majaketi ya kuakisi mwanga.Hao ndio walifadhili mechi ya Wabunge wa SIMBA vs YANGA siku ya Jumapili.
Wanafanya huduma za kibinadamu kwa kuwalipa madaktari na kuhudumia kufanyia upasuaji watoto wenye vichwa vikubwa Dsm na Jimbo la Chalinze.
Jamaa ndio "Tigo Pesa na M-Pesa" ya Wabongo wanaofanya biashara China na Tz...Ukienda tu pale Kkoo unawapa madafu wao wanaituma ndani ya dakika moja imefika Uchina kwa njia ya simu.Ndio walioboresha ofisi ya RC Dsm kwa kuweka ndani samani mpyaaaaa na Apple Computer juu ya meza.
Hawagusiki...Kama unataka kurudi kwenu Geita uache jumba jeupe...Basi gusa "mtandao wa Simba Trust"....
Kaka nimekukumbuka sana ndugu yangu. Umzima lakini?wachunguze mtandao wa simba trust ili kukamata wauza unga..
Ni kama umeshamtaja kabisa mmojawapoWe muongo sana.Kuna baadhi ya vitu navifahamu humo vyote umeongopa.Acha utoto
Come back please! You are not active any more in jamii forum! Where are you?
Kwani 'trust' ni kitu gani wajameni maana mimi nilijua ni 'kuamini'.
Kwa hiyo hii nayo ni sawa na GSM Trust!? Tujuzeni tusioelewa.
Tuoneshee wapi kamtaja jk nduguMleta mada ni mnafiki sana. Nyie mnatumia hisia badala ya kuweka documents. Sasa mnamsakama JK wakati huo huo mnasema alikuwa rais bora, so which is which?? Mwacheni JK apumzike!
Hivi huyu kijana technically kafia wapi?
Weka ukubwa wako tuuoneWe muongo sana.Kuna baadhi ya vitu navifahamu humo vyote umeongopa.Acha utoto