Huu ndio mtandao unaoimiliki Simba Trust!!

Huu ndio mtandao unaoimiliki Simba Trust!!

Kiongozi ni wanyonge wapi anaowatetea? Amewanyima watoto wao ajira, amekataa kuwapandisha vyeo /madaraja, hakuna nyongeza ya mishahara huku mfumuko wa bei ukiwa juu. Hospitalini hakuna tiba, elimu imedorora. Maskini wapi anaowatetea ?
Umemaliza.....kazi yake nzuri ila hayo ndo malalamiko huku mtaani
 
Hamna ushahidi wa moja kwa moja!

Kama ushidi upo nendeni mahakamani mkawashtaki

Tofauti na hapo huo ni wivu wa kike
 
JAKAYA KIKWETE, SALMA KIKWETE, Na watoto wao ndio wamiliki wa SIMBA TRUST,

Kwenye Orodha ya wakwapuaji wa Pesa za Escrow Mama Salma anaonekana kuchota pesa.

TSN Supermarket Mama Salma ameonekana.

Jengo la ROCKY CITY MALL -Mama Salma alimwambia Mkuu wa Mkoa Magesa Mlongo kuwa ahakikishe anamtengea Vizimba vyake humo Jengoni-Na ni kweli TSN Ilipewa Vizimba kadhaa

Halotel- Familia ya JK. ina Hisa humo ndani.

Haya IPTL/PAP =JK. Family...

Yaan Urais wa JK. Kwa miaka Kumi ulikuwa ni wa kupiga deal na mke wake pamoja na familia yake na watu wake wa karibu.
Acha Uongo Wewe Hata kuongopa hujui?sometimes muogopeni na mungu unapata faida gani kutunga Ngojera hii?Ndio maana JF inaiitwa Great thinker Jaribu kuwa kwenye Mstari usipotoshe umaa na Ulicho comment 99%Uongo na uzushi
 
Yaaaah jpo mm mzalendo lakin kwa hli HAPANA!! hii n sawa na kusema "eti" Ridhiwan ana miliki kampuni ya mabasi ya RATCO, lake oil, estim construction, majengo ya machinga complex, PSPF twins tower cjui nn na nn !! Wakat ushahidi huna !! Kama kweli unajua tuambie cyo kukaa na "kukisiakisia". tuu !! Hatutaki huu Upuuzi



~Cmb
 
Back
Top Bottom