Huu ndio mtandao unaoimiliki Simba Trust!!

Huu ndio mtandao unaoimiliki Simba Trust!!

NILISHAWAHI NA NINARUDIA KUSEMA TENA LEO KUWA,ADUI MKUBWA WA WATZ.NI CCM NA VIONGOZI WAKE WOTE.
MNAYOYAONA LEO NI MOVIES NA COMEDY TU ZA KUTUHADAA NA KUTUONA SOTE NI MAZOBA,MALOFA KAMA WASEMAVYO WAO.
NJIA PEKEE NA UKOMBOZI PEKEE NI KUINDOA CCM MADARAKANI TU.
NA ILI KUIONDOA CCM MADARAKANI TUNAPASWA KUPAMBANIA TUME HURU YA UCHAGUZI NA KATIBA MPYA YA WANANCHI HARAKA SANA KABLA YA WIZI WAO MWINGINE KWENYE UCHAGUZI UJAO.
HAKUNA CHA MZALENDO AU NINI KWANI,KWA MAANA NDANI YA CCM NI WALE WALE NA NI SAWA NA ABIRIA ALIYE PANDA GARI AU KUWA NDANI YA GARI ALAFU ANASULIKUMA LILE GARI ANGALI YEYE YUMO NDANI YA GARI.HAKIKA INAHITAJIKA MIUJIZA KULISOGEZA GARI LILE.
KWA UFUPI NI HIVI MAGU HANA JIPYA HATA AKISHUKA MALAIKA NDANI YA CCM NI WALEWALE TU.
MFANO WALIYO TUFIKISHA HAPA NI WAO WALIYOTUIBIA MALI NA RASILIMALI ZETU NI WAO NA WASHIRIKA WAO.ETI LEO BAADA YA SHETANI KUZEEKA ANATAKA KUJIFANYA MALAIKA IS NOT POSSIBLE AT ALL.SHETANI NI SHETANI TU AWE KIJANA AU MZEE NI SHETANI TU.
ZAIDI KAMA AWAMU HII WANGELIKUWA WANATAKA KUOKOKA NA KUTOKA HUKO KUZIMU MAANA NI KUZIMU,WANGELI ENDELEZA MCHAKATO WA KUPATA KATIBA MPYA YA WANANCHI NA KUONDOA KINGA YA MARAIS ILI TUWEZE KUWAAJIBISHA VIONGOZI WA KITAIFA WALITUFIKISHA HAPA NA KUSEMAKANA WAO NI WAHUSIKA WAKUU.
LEO INASEMAKANA WAACHENI WAZEE WAPUMZIKE WHAT NEWS DO TANZNIANS EXPECT???
NA WAMESHAANZA KUWAHADAA WALE AMBAO WAMEZAMIA KWENYE UJINGA KWA KUIGIZA ETI TUWAPONGEZE UZALENDO...OOOHH SIJUI ATAWALE ZAIDI YA MIAKA???
MAY GOD KEEP CURSING THAT GENERATIONS WITH THAT FAMILY EVERLASTING.
 
NILISHAWAHI NA NINARUDIA KUSEMA TENA LEO KUWA,ADUI MKUBWA WA WATZ.NI CCM NA VIONGOZI WAKE WOTE.
MNAYOYAONA LEO NI MOVIES NA COMEDY TU ZA KUTUHADAA NA KUTUONA SOTE NI MAZOBA,MALOFA KAMA WASEMAVYO WAO.
NJIA PEKEE NA UKOMBOZI PEKEE NI KUINDOA CCM MADARAKANI TU.
NA ILI KUIONDOA CCM MADARAKANI TUNAPASWA KUPAMBANIA TUME HURU YA UCHAGUZI NA KATIBA MPYA YA WANANCHI HARAKA SANA KABLA YA WIZI WAO MWINGINE KWENYE UCHAGUZI UJAO.
HAKUNA CHA MZALENDO AU NINI KWANI,KWA MAANA NDANI YA CCM NI WALE WALE NA NI SAWA NA ABIRIA ALIYE PANDA GARI AU KUWA NDANI YA GARI ALAFU ANASULIKUMA LILE GARI ANGALI YEYE YUMO NDANI YA GARI.HAKIKA INAHITAJIKA MIUJIZA KULISOGEZA GARI LILE.
KWA UFUPI NI HIVI MAGU HANA JIPYA HATA AKISHUKA MALAIKA NDANI YA CCM NI WALEWALE TU.
MFANO WALIYO TUFIKISHA HAPA NI WAO WALIYOTUIBIA MALI NA RASILIMALI ZETU NI WAO NA WASHIRIKA WAO.ETI LEO BAADA YA SHETANI KUZEEKA ANATAKA KUJIFANYA MALAIKA IS NOT POSSIBLE AT ALL.SHETANI NI SHETANI TU AWE KIJANA AU MZEE NI SHETANI TU.
ZAIDI KAMA AWAMU HII WANGELIKUWA WANATAKA KUOKOKA NA KUTOKA HUKO KUZIMU MAANA NI KUZIMU,WANGELI ENDELEZA MCHAKATO WA KUPATA KATIBA MPYA YA WANANCHI NA KUONDOA KINGA YA MARAIS ILI TUWEZE KUWAAJIBISHA VIONGOZI WA KITAIFA WALITUFIKISHA HAPA NA KUSEMAKANA WAO NI WAHUSIKA WAKUU.
LEO INASEMAKANA WAACHENI WAZEE WAPUMZIKE WHAT NEWS DO TANZNIANS EXPECT???
NA WAMESHAANZA KUWAHADAA WALE AMBAO WAMEZAMIA KWENYE UJINGA KWA KUIGIZA ETI TUWAPONGEZE UZALENDO...OOOHH SIJUI ATAWALE ZAIDI YA MIAKA???
MAY GOD KEEP CURSING THAT GENERATIONS WITH THAT FAMILY EVERLASTING.
Ndio hao wanatoka CCM na kuja kuwaongeza huko... Na angekuwa Rais sijui ingekuaje.
 
NILISHAWAHI NA NINARUDIA KUSEMA TENA LEO KUWA,ADUI MKUBWA WA WATZ.NI CCM NA VIONGOZI WAKE WOTE.
MNAYOYAONA LEO NI MOVIES NA COMEDY TU ZA KUTUHADAA NA KUTUONA SOTE NI MAZOBA,MALOFA KAMA WASEMAVYO WAO.
NJIA PEKEE NA UKOMBOZI PEKEE NI KUINDOA CCM MADARAKANI TU.
NA ILI KUIONDOA CCM MADARAKANI TUNAPASWA KUPAMBANIA TUME HURU YA UCHAGUZI NA KATIBA MPYA YA WANANCHI HARAKA SANA KABLA YA WIZI WAO MWINGINE KWENYE UCHAGUZI UJAO.
HAKUNA CHA MZALENDO AU NINI KWANI,KWA MAANA NDANI YA CCM NI WALE WALE NA NI SAWA NA ABIRIA ALIYE PANDA GARI AU KUWA NDANI YA GARI ALAFU ANASULIKUMA LILE GARI ANGALI YEYE YUMO NDANI YA GARI.HAKIKA INAHITAJIKA MIUJIZA KULISOGEZA GARI LILE.
KWA UFUPI NI HIVI MAGU HANA JIPYA HATA AKISHUKA MALAIKA NDANI YA CCM NI WALEWALE TU.
MFANO WALIYO TUFIKISHA HAPA NI WAO WALIYOTUIBIA MALI NA RASILIMALI ZETU NI WAO NA WASHIRIKA WAO.ETI LEO BAADA YA SHETANI KUZEEKA ANATAKA KUJIFANYA MALAIKA IS NOT POSSIBLE AT ALL.SHETANI NI SHETANI TU AWE KIJANA AU MZEE NI SHETANI TU.
ZAIDI KAMA AWAMU HII WANGELIKUWA WANATAKA KUOKOKA NA KUTOKA HUKO KUZIMU MAANA NI KUZIMU,WANGELI ENDELEZA MCHAKATO WA KUPATA KATIBA MPYA YA WANANCHI NA KUONDOA KINGA YA MARAIS ILI TUWEZE KUWAAJIBISHA VIONGOZI WA KITAIFA WALITUFIKISHA HAPA NA KUSEMAKANA WAO NI WAHUSIKA WAKUU.
LEO INASEMAKANA WAACHENI WAZEE WAPUMZIKE WHAT NEWS DO TANZNIANS EXPECT???
NA WAMESHAANZA KUWAHADAA WALE AMBAO WAMEZAMIA KWENYE UJINGA KWA KUIGIZA ETI TUWAPONGEZE UZALENDO...OOOHH SIJUI ATAWALE ZAIDI YA MIAKA???
MAY GOD KEEP CURSING THAT GENERATIONS WITH THAT FAMILY EVERLASTING.

Swali langu moja tuu kwako. Tuiondoe CCM Madarakani sawa,tukiwapa wapinzani nitajie Raisi wenu atakuwa nani?
 
Ambaye hajakuelewa hata siku ya kiama ikifika hataelewa, na hata Yesu akirudi wala hataelewa!
Outwardly hawa watu wanajitahidi kujionyesha kwamba ni watu wazuri lakini kiukweli huenda ni watu wabaya sana na ni muda utatupa ukweli huu! Zamani niliamini eti wezi ni watu 'wanaokunja' sura kumbe 'charming faces' ni wabaya zaidi aisee!

Kwa taaharifa yako hao jamaa niwatakatishaji pesa wazuri wa hile biashara yetu pendwa amabyo RC alikuja nayo moto mwisho aikujulikana ameishia wapi angalia Dimponz kwa poz bata anazokula angalia na mziki anaofanya anagalia rafiki zake wa karibu
 
Alafu eti tunaambiwa kapatikani mtu fulani anaechukia ufisadi!Kuna ufisadi zaidi ya huu?Pamoja na tuhuma zote hizi bado anasema nitawalinda na nyie mnaamini mmepata mtu aliejitoa mhanga kupingana na ufisadi?Je ,si kajitoa mhanga kulinda mafisadi mapapa?
Sawa wewe unataka afanye nini wakati ndiyo kwanza kazi imeanza na bado inaendelea?
 
Hapo ni Msoga family tu, na ndio kisiki cha Magu.

Kuna watu wanakula kwa kukomba mboga du!!! Aibu sana kuwa kiongozi wa aina ya kukomba mboga! Heshima ya kiongozi hataitapimwa kamwe kwa vitu anavyomiliki yeye na familia yake, bali kwa utu anaowatendea anaowaongoza!!!!
 
Wataje kwa majina hao ...1)Mfalme juha..2)mwana mfalme..3)binti mfalme..4)mtoto wa mfalme(teja)
 
Huyu jamaa sijui kapotelea wapi,kuna uzi aliwahi kuupost humu kuhusu Mwigulu kwa kifupi huyu jamaa ni qweqwi

Technically
Barafu

Wamepotea sana humu jukwaan
 
Kwa maslahi ya Taifa......

Maswali ni mengi lakini sitakuwa na haja ya Kuwataja hatharani ..

Nipende kuwapa mwanga tu mpate japo kujiridhisha na kufuatilia ni nani hasa mmiliki wa Simba Trust.

Wamiliki wa Simba trust sio kwamba ni wamiliki tu wa hiyo no wako na mtandao mkubwa wa either kumiliki au kuwa na hisa katika makampuni yafuatayo.

1: Precision Air:
Hao hao wamiliki wa Simba trust na genge lao wanaonekana kuwa na hisa ndani ya kampuni hii ya ndege.

2: TSN + GSM :
Ndio pia wamiliki wa makampuni yote ikiwemo TSN super market Kwa kununua hisa na kumiliki share ndani ya makampuni hayo.

3: Azania Bank:
Wamewekeza hisa nyingi pia kwenye hii bank ya Azania amabayo ilikua kwa kasi ndani ya utawala wa awamu ya 4

4: GAPCO+ LAKE OIL
Ni wawekezaji pia kwenye suala la mafuta kwa kuwa na hisa au umiliki wa moja kwa moja

5: TULAWAKA GOLD MINE:
Wawekezaji ndani ya mgodi wa Tulawaka walifanikisha kuwafukuza wananchi katika mgodi uo na kujenga uzio .

6: Mgodi wa Tanzanite Arusha :
Pia wamewekeza kwenye mgodi huu baada ya mikataba ya Makaburu kuisha .

7: Ndio wamiliki wa UDA pia ambayo pia ni Kampuni yenye utata wa umiliki wake kwenye hisa zake.

8 : Baadhi ya makampuni ya clearing na forwarding hapo bandarini.

9 : Ndio walishinda zabuni ya ujenzi wa soko la kisasa kule Mwanza (Rock city shopping Mail) kupitia uchochoro wa wachina na kukwapua mamilioni .

10: Ndio wamiliki wa makampuni ya kufanya usafi kwenye halmashauri nyingi nchini karibu kwa asilimia 75% hawa ndio upewa tenda.

Wanausishwa pia na hisa kwenye kiwanda cha Dangote cha cement kilichojengwa mtwara.

Pia ni wawekezaji kwenye shirika letu la nyuma NHC kama mnakumbuka shirika la Nyumba la taifa limekuwa likikopa pesa kwa ajiri ya kujenga Nyumba hasa miradi ya Dodoma kuna mkono wa hawa jamaa.

Pamoja na kwamba umiliki unabadilika badilika kiasi lakini mtandao ndio ule ule unaomiliki Simba Trust. Wanacho kifanya ni kuwatumia watu kufanikisha mambo yao hasa watu wenye asili ya Asia .

Hata ukiangalia kwenye list ya pesa za escrow account zilizogawiwa pale Stanibic bank list ya watu hao ilikuwepo .

Nimetoa kwa ufupi kuepuka kutaja majina kwa sababu za kisheria lakini mkifuatilia kwa makini mtagundua ni wakina Nani wapo nyuma ya hii michezo yote inayoendelea...

Hao ndio wanachukua milioni yetu 400 kila siku pale Tanesco.

Nashauri Rais Magufuli angeanza na hawa , hawa ndio mafisadi ambao wanatakiwa kwenda kwenye mahakama ya mafisadi.

Mungu ibaliki Tanzania...
Naomba sote tushikamane na mheshimiwa Rais Dr. Magufuli kwenye vita ya kulianda na kutetea raslimali za taifa na uadilifu.
 
Bonge la syndicate....siku Magufuli akiifumua hii network mimi nitahamia CCM rasmi.

Sitajali uchumi unakua au la! Also, sitojali kuna Katiba Mpya au la!
 
Bonge la syndicate....siku Magufuli akiifumua hii network mimi nitahamia CCM rasmi.

Sitajali uchumi unakua au la! Also, sitojali kuna Katiba Mpya au la!
Njoo sasa tusaidiane naye usisubiri kazi iishe, uwe sehemu ya mabadiliko. CCM Oyee!
 
Back
Top Bottom