Huu mwaka nini umefanya ukafurahia?

Huu mwaka nini umefanya ukafurahia?

Kwanza uhai..pili nimeoa tatu najua mwenyewe.

Kinachozidi kunipa huzuni..ni uwepo wa chama chakavu madarakani chini ya rais mwenye jinsi ya kike.

#MaendeleoHayanaChama
Anahonga vifaru hadimu
 
Hongereni wote jamani mliofurahia huu mwaka kwangu niulikuwa mgumu sana mpaka nikachoka kabisa .

Nilishindwa kuendelea nilichoka kabisa nimejua mengi mpaka sasa sina tena nguvu yakuanzia .
 
Back
Top Bottom