Tumefungiwa but It was a good gameVisingizio Fc! Wamekuja waamuzi wa kigeni kwenye mchezo uliopita, bado mlifungwa.
All in all, timu yenu imeimarika! Na kocha Fadlu amejitahidi kuanzisha kikosi kizuri.
Unapomtafsiri Pacome alikuwa offside ila hakuwa ameingilia mchezo, offside ilikufa mara baada ya Max kuuchukua ule mpira , Pacome angeugusa mpira mda Max ameuchukua ingekuwa offside.soma sheria za offside acha kukurupuka pecome alikuwa offside
Bora umesaidia kutafsiri sheria.Unapomtafsiri Pacome alikuwa offside ila hakuwa ameingilia mchezo, offside ilikufa mara baada ya Max kuuchukua ule mpira , Pacome angeugusa mpira mda Max ameuchukua ingekuwa offside.
Max kachukua mpira na akasogea zaidi eneo la gori wakati huu tayari Pacome alikuwa nyuma, Max anapiga Camara anaurudisha, so ukitaka kuitafsiri kama ni offside au lah angalia mda Max anapiga mpira Pacome alikuwa wapi.
Hujui Mpirasoma sheria za offside acha kukurupuka pecome alikuwa offside
Oktoba tunatikiJengeni timu acheni lawama
MbelekoUnapomtafsiri Pacome alikuwa offside ila hakuwa ameingilia mchezo, offside ilikufa mara baada ya Max kuuchukua ule mpira , Pacome angeugusa mpira mda Max ameuchukua ingekuwa offside.
Max kachukua mpira na akasogea zaidi eneo la gori wakati huu tayari Pacome alikuwa nyuma, Max anapiga Camara anaurudisha, so ukitaka kuitafsiri kama ni offside au lah angalia mda Max anapiga mpira Pacome alikuwa wapi.