King’asti Platinum Member Nov 26, 2009 27,823 24,781 Jun 16, 2012 #3 Hahaha! Ffu wa kwetu walivyo na hasira, wataifyatua hiyo kitendea kazi, by the time they finish hata unyayo hautoonekana!
Hahaha! Ffu wa kwetu walivyo na hasira, wataifyatua hiyo kitendea kazi, by the time they finish hata unyayo hautoonekana!
N ndomyana JF-Expert Member Jan 24, 2012 5,511 2,034 Jun 16, 2012 #4 Kiranja Mkuu said: Mbombo ngafu Click to expand... ngoswiga nine
Kaitampunu JF-Expert Member Nov 24, 2011 1,994 774 Jun 16, 2012 #5 Ukisikia kazi ya askari ni kulinda usalama wa raia na mali zao ndo hiyo. Tumuulize mwema kwani wa kwake hawana uvumilivu kiasi hicho?
Ukisikia kazi ya askari ni kulinda usalama wa raia na mali zao ndo hiyo. Tumuulize mwema kwani wa kwake hawana uvumilivu kiasi hicho?
Kimolah JF-Expert Member Mar 22, 2011 543 709 Jun 16, 2012 #6 bangi aliyovuta huyo jamaa ni ya nje ya dunia hii asee! . .au kama ni mjasiri basi anastahili nishani.
bangi aliyovuta huyo jamaa ni ya nje ya dunia hii asee! . .au kama ni mjasiri basi anastahili nishani.
Babkey JF-Expert Member Dec 10, 2010 4,834 3,655 Jun 16, 2012 #8 Ka! ...ingekuwa hapa, hicho kitendea kazi kingelala daima...
masopakyindi Platinum Member Jul 5, 2011 17,882 13,170 Jun 16, 2012 #9 Mbuzi Mzee said: Click to expand... Duh! Ndo demokrasia au vipi?
LiverpoolFC JF-Expert Member Apr 12, 2011 11,348 3,219 Jun 16, 2012 #11 Mbuzi Mzee said: Click to expand... Hii kali!
Mamaya JF-Expert Member Jul 4, 2011 4,792 3,722 Jun 16, 2012 #12 Mbuzi Mzee said: Click to expand... kwa mapicha ya ajabu tu! Mbuzi mzee unatisha.
zomba JF-Expert Member Nov 27, 2007 17,240 3,910 Jun 16, 2012 #13 FFU wa Tanzania bora ukutane hata na mbwa wa polisi ana huruma. Kama unabisha waulize waleta fujo wa Arusha.
FFU wa Tanzania bora ukutane hata na mbwa wa polisi ana huruma. Kama unabisha waulize waleta fujo wa Arusha.