Huu Hapa Utapeli wa Serikali ya CCM

Huu Hapa Utapeli wa Serikali ya CCM

Masai wa Town

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2017
Posts
6,544
Reaction score
23,844
Hakuna jambo linauma kama kufukuzwa kazi katika kipindi ambacho hujajiandaa.

Tumaini linalobaki ni kwenye savings na pension. Lakini baadae wakati wa kufuatilia pension unajikuta katika maumivu zaidi ya ile ya kufukuzwa kazi.

Najiuliza Sheria iliyounda NSSF ilipitiswa na nani na kwa bunge lipi?

Itoshe Kusema NSSF Ni Matapeli kama Matapeli Wengine
9267.png


Mtu Kapoteza ajira, anafungua dai la fao la kukosa ajira ili angalau funguwe office ndogo lakini mnampiga chenga Kila siku, Hakuna kinachoendelea. Mnataka ajitoe muhanga apambane na nyie?

Mkipigiwa simu hampokei, tukija Ofisini mnaishia kusema "swala lako linashughulikiwa". Maana yake ni nini?

Huu ni utapeli kama utapeli mwingine.

Siku zinakuja hizi taasisi za kitapeli na za kisenge zote tutazifuta kwa wino wa milele
Wapumbavu nyie.
 
Easy man!
Huo ndo utendaji kazi wa taasisi zote Nchini.

Siyo mahakama, taasisi za kifedha, polisi, afya na hata za kidini ukienda huko na shida yako utaambiwa subiri usiwe na haraka swala lako linashughurikiwa haijarishi itachukua miezi, miaka na hata ikibidi milele...!
 
Wabunge miaka mitano wanapewa chao mapema.

Ilibidi Wabunge wasubili nao mpaka wafike miaka 60 ndio hili jambo lingepata ufumbuzi.

Miradi ya Nssf hajuba gawiwo lilote wanalonufaika wanachama, wachawi wakubwa hao.
 
Easy man!
Huo ndo utendaji kazi wa taasisi zote Nchini.

Siyo mahakama, taasisi za kifedha, polisi, afya na hata za kidini ukienda huko na shida yako utaambiwa subiri usiwe na haraka swala lako linashughurikiwa haijarishi itachukua miezi, miaka na hata ikibidi milele...!
Inauma sana kwa mtu aliyepoteza ajira alafu anazungushwa-zungushwa badala ya kupewa hela yake
 
Hakuna jambo linauma kama kufukuzwa kazi katika kipindi ambacho hujajiandaa.

Tumaini linalobaki ni kwenye savings na pension. Lakini baadae wakati wa kufuatilia pension unajikuta katika maumivu zaidi ya ile ya kufukuzwa kazi.

Najiuliza Sheria iliyounda NSSF ilipitiswa na nani na kwa bunge lipi?

Itoshe Kusema NSSF Ni Matapeli kama Matapeli Wengine View attachment 3542538

Mtu Kapoteza ajira, anafungua dai la fao la kukosa ajira lakini mnampiga chenga Kila siku, Hakuna kinachoendelea.

Mkipigiwa simu hampokei, tukija Ofisini mnaishia kusema "swala lako linashughulikiwa". Maana yake ni nini?

Huu ni utapeli kama utapeli mwingine.

Siku zinakuja hizi taasisi za kitapeli zote tutazifuta kwa wino wa damu zenu wenyewe.

Wapumbavu nyie.
kama hajamkuta mtu anaweza kusema unadanganya.
 
Wabunge miaka mitano wanapewa chao mapema.

Ilibidi Wabunge wasubili nao mpaka wafike miaka 60 ndio hili jambo lingepata ufumbuzi.

Miradi ya Nssf hajuba gawiwo lilote wanalonufaika wanachama, wachawi wakubwa hao.
Kuna dogo mmoja alisema NSSF yake ni M_PESA

DOGO SIKUJUA ALI MAANISHA NINI DOGO YUPO KWENYE SECURITY COMPANIES..
 
Kuna dogo mmoja alisema NSSF yake ni M_PESA

DOGO SIKUJUA ALI MAANISHA NINI DOGO YUPO KWENYE SECURITY COMPANIES..
Shida ni kwamba, kwa sasa Kila kampuni/ taasisi inalazimishwa na Sheria kuwaunga watumishi wake NSSF. Kampuni isiyo comply huwa inatozwa faini. Mimi mwenyewe sikutaka nijiunge na NSSF ila muajiri alinilazimisha
 
Hapo bado! Utakapoenda unaambiwa unapewa 30% ya mshahara wako kila mwezi,utaenda kulilia posta mpya 🤣
Watu wanawatafuta watu ubaya hio 30% atashangaa haina tofauti na nauli aliyotumia kufika hapo ofisini kwao anaweza akazimia
 
Hizi hasira zihamishie kwenye kupambana na serikali dhalimu, mimi utanionea tu 😂😂😂😂
Mkuu nipo very high 😭
Msimu wa kilimo huu, mil tehemea hiyo hela niipeleke shamba. Lakini naona wao wanaleta mzaha. Natamani nikajilipuwe
 
Watu wanawatafuta watu ubaya hio 30% atashangaa haina tofauti na nauli aliyotumia kufika hapo ofisini kwao anaweza akazimia
kuna ndugu yangu alikua na mahesabu marefu sana alichoka alipopwa laki 4 😂😂😂😂😂 nacheka kama mazuri dah!
Halafu walivo na majibu ya dharau badala wamueleweshe wanamjibu pumba, iko siku watakuja kukutana na kichaa tuwasome kwenye vyombo vya habari.
 
Back
Top Bottom