Nyamesocho
JF-Expert Member
- May 5, 2023
- 476
- 1,244
Mkoani mbwa kichaa anajeruhi mtu mmoja au wawili baada ya hapo dakika 0 mbwa kwishinei,
Nasikitika mbwa kichaa kajeruhi watu 26 na wanaume wapo ni maajabu mengine haya yawakwe Guineas.
---
Mbwa ambaye mmiliki wake hajajulikana amevamia watu katika nyakati tofauti, katika eneo la Msisiri 'B' Kata ya Mwananyamala, Jijini Dar es Salaam, kisha kuwajeruhi watu kwa kuwang'ata.
Nasikitika mbwa kichaa kajeruhi watu 26 na wanaume wapo ni maajabu mengine haya yawakwe Guineas.
---