Nanaa
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 5,901
- 3,704
Hahahahahah
Hawakuwa wanafuatili visamaki vyao hao kwenye vitabu
Hahahahah....
Tatizo wale kila mtu mjuzi...kila aliyekopa hajamaliza kurudishaa...
Kuwa makini mwaya...
Hahahahahah
Hawakuwa wanafuatili visamaki vyao hao kwenye vitabu
Hahahahah....
Bank zinapungua kila mwezi makato kibao, huku zinaongezeka kama fixed account.kwanini uweke huko hadi mwisho wa mwaka siuweke bank kama uko serious na kusave kwani huyo mnaempa aweke kuna insurance au anaweza zama na kibubu chote
Natafuta chama,sijui tuanzishe chetu humu jf,!!
Lol. Cha wanawake au miksa?Mi sijawahi!
siku mke wangu akijiunga hisa nampa talaka.
kwanini uweke huko hadi mwisho wa mwaka siuweke bank kama uko serious na kusave kwani huyo mnaempa aweke kuna insurance au anaweza zama na kibubu chote
Hukohuko ndio mbinu za kuchepuka zinajadiliwa
Ukimpa talaka ataolewa na wanahisa wenzie!
Kama mkeo ni wa kuchepuka atachepuka hata kama ukimuwekea walinzi
nimepata hasira hadi nikahisi nimeoa.
Hakuna la ajabu siku hizi si mnasuguwana hata wenyewe?
Tena akiwekewa walinzi ndo anachepuka na wale wale wa karibuuu....usiemdhani...