Husninyo Pokea Proposal

Husninyo Pokea Proposal

Wamenifafanulia kuwa mi ndo waziri wa Ulinz hvyo ninayo mamlaka ya kuteua yeyote awe mlinzi.
Mi na Amyner ndo twakarbia Mbalamweziiii
Amyner ni boss wako kwa kuwa yeye ndo mtunza fedha na hivyo hawezi kuwa kamati yoyote tena....
Pole sana bwana Mtei
 
Amyner ni boss wako kwa kuwa yeye ndo mtunza fedha na hivyo hawezi kuwa kamati yoyote tena....
Pole sana bwana Mtei

Cjamteua yeye. Nlikuwa nakuarifu kuwa niko naye njian 2nakarbia kufka mbalamwezi
 
Eti wewe umemdatisha uporoto ndio chanzo cha kumbwaga Husninyo, haya maneno kayasema Konnie
Sio Konnie tu bali Uporoto mwenyewe alikuja akasema na Akatoa ushahidi wa Email yake mpya ya
uporoto@kabakabana.mtotomzuri.com
ndo akapotea
 
me ndo nimeishiwa nguvu kabisa, kwani nilimtuhumu judge kumfitini husyn kwa uporoto kwa utata uliojitokeza, kumbe uporoto mwenyewe amekuja kutushushua hapa! Sijui uso wangu nitauweka wapi nikionana na judge & husyn? Judge naomba uniwie radhi kwa yale niliyoyaongea dhidi yako, mbarikiwe sana j&h
Ndo ukome sasa maana na wewe umezidi ushakunaku Lol
 
Sio Konnie tu bali Uporoto mwenyewe alikuja akasema na Akatoa ushahidi wa Email yake mpya ya
uporoto@kabakabana.mtotomzuri.com
ndo akapotea

sijaamini kuwa wakati naanza nae bado alikuwa na husy,kumbe alinidanganya khaa
 
Back
Top Bottom