Hahaha! Lawyer sikujua kumbe we muoga hivyo, daaah umepinda ati!Mkuu hilo jimama unaweza ukapiga raundi sita na still likakuuliza "mbona unanichelewesha? fanya uanze dozi bana nataka niwahi salon"
Mimi jimama kama ilo likiniuliza hali najifanya skuzaliwa tanzania na sielewi kabisa iyo lugha anayoongea.
Skubali kufa kizembe
shem unaona majungu ya katavi? Sheria inasemaje hapa?
Husninyo Hongera sana MMEPENDEZA sana...shem unaona majungu ya katavi? Sheria inasemaje hapa?
Wenye wivu wasage chupa wakunywe!nakupendea hapo tu wifi
Asante kwa niaba ya husninyo.Husninyo Hongera sana MMEPENDEZA sana...
Nilikuwa sijakupa hongera tangu asubuhi.
Hahahahaaa kumbe Jux hakufai aisee kazi huwezi..saizi yako Kabakabana
hehehe hilo jimama linaweza likakutoa flu za maskio aisee. Acha niendelee kukamua na vizee tu, ukipiga kabao kako kamoja unakaskia kazee " bwaaaana usifiweee"Hahaha! Lawyer sikujua kumbe we muoga hivyo, daaah umepinda ati!
Duh na wewe mshakunaku....mhAsante kwa niaba ya husninyo.
Hahaahaaaaa duh hapo utakuwa ni match ya upande mmoja....komaa na hicho kitu ushike adabuhehehe hilo jimama linaweza likakutoa flu za maskio aisee. Acha niendelee kukamua na vizee tu, ukipiga kabao kako kamoja unakaskia kazee " bwaaaana usifiweee"
Hahahahaaaa! Lawyer unaniangusha...hehehe hilo jimama linaweza likakutoa flu za maskio aisee. Acha niendelee kukamua na vizee tu, ukipiga kabao kako kamoja unakaskia kazee " bwaaaana usifiweee"
Yaani mi mwenyewe nilipigwa na butwaa, kipotabo kama wewe anachafua CV yako mbele ya mods.
Nawahi sehem lakini nikirejea tutalijadili hili kwa kina kabisa ofisini. Ukuje ofisini na nguo nyepes nyepes zinazoonesha ndani, ofisi yangu haina AC.
Asante shem
Ntake radhi kabla sijareport abuse...Duh na wewe mshakunaku....mh
hupitwi na kitu....Nitty ana shida sana
Husninyo Hongera sana MMEPENDEZA sana...
Nilikuwa sijakupa hongera tangu asubuhi.
Asante kwa niaba ya husninyo.
Yaani mi mwenyewe nilipigwa na butwaa, kipotabo kama wewe anachafua CV yako mbele ya mods.
Nawahi sehem lakini nikirejea tutalijadili hili kwa kina kabisa ofisini. Ukuje ofisini na nguo nyepes nyepes zinazoonesha ndani, ofisi yangu haina AC.
Asante shem
Samahani....ila ukweli ndo huo..hahahahaaaNtake radhi kabla sijareport abuse...
Yan utadhani ni Beki tatu...hahahahaaaahahahaha! Ahsante swahiba kwa kuwakilisha.
Niombe radhi tafadhali, mimi nakusafishia cv....utaona pm zinavyomwagika kuanzia leo usiku, jiandae!
Yan utadhani ni Beki tatu...hahahahaaaa
Anazidaka hadi salamu