johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,128
- Thread starter
- #21
Siasa siyo uadui bwashee.Unaonaje ukijikita kwenye mambo yenu ya huko Lumumba !
Kama kugawa fulana na kofia nyumba kwa nyumba na kupigia upatu kauli yenu ya maendeleo hayana vyama!
Chadema haihitaji ushauri wa waimba mapambio na matarumbeta ya MATAGA...
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu!