Husband material kwa sasa mjini ni wanajeshi

Husband material kwa sasa mjini ni wanajeshi

Duuuhhh, naona ndiyo unashehereka hivyo na siku ya mwanamke duniani. [HASHTAG]#long[/HASHTAG] walk to freedon
 
Wewe umelikoroga sasa kila siku unakula kipondo cha haja, alafu akitoka miezi sita hujui alipo na sim hupigiwi mpaka arudi, akirudi anakuja na kabinti anakuambia huyu mdogo wangu na usiku anaenda chumba cha mdogo wak3. Sasa naona unataka uwapoteze na wenzio. Hahaha. Ishakuka kwakoo woyyeeee ishakula kwako kwako kwako (in mange kimambi voice)
 
ongezea basi....
wakikufumania bucha inahamia hapo ulipofumaniwa......safi kabisa hao ndio wajeda...
 
Zamani ukitaka kuajiriwa jeshini lazima wanaangalia mwili sura jiwe ila sahv ni tofauti sana maHB kibao jeshini pia siyo kwamba wote wanakunywa pombe ila kulingana na wanakaa sehemu moja hvyo ukiwaona kadhaa wanatumia wanaonekana ndio maisha yao pia jeshini tunafundishwa kuishi na watu na muda gani unapaswa kuwa kimajukumu na muda gani uwe maisha ya kawaida tu. Wanajeshi wengi sahv wanawivu wa maendeleo wanapenda kuishi maisha mazuri na mazingira mazuri kulingana na kazi wanazofanya ni ngumu ndio maana wanapenda sana wakirudi nyumbani wakute furaha kwa wake zao. Njoo ihumwa utaona vijana wadgo tu wanavyoporomosha mijengo na magari ya kutosha. Ni wastaarabu na wakaribu na wanajali na wakikupanda kunako 6*6 utaomba poo
Nipo Ihunwa tukutane Mbalamwezi mida ya jioni unipe k vant kwa kuwapaisha kias hiki
 
Hawabagui mwanamke wa kuoa ila wanapenda wanawake wenye upendo,heshima,kujali na mwenye kujituma na akili tu ya kukaa na familia maana muda mwingine huwa wanaenda kozi hvyo unabaki na familia pamoja na kusimamia miradi ya maendeleo kama ipo me mwenyewe hata kama umeishia 7 B kama uko vzr nakutia ndani chap
Nawaona vijana wa Ihumwa wameoa na wanawajali sana wake zao

Hongereni sana wajedaaa
 
Nina shemeji zangu watatu wajeshi mmoja yuko very caring , mpole,charming na yuko very loyal kwa familia yake.....ila hao wawili waliobaki wanapiga wake zao balaa aisee alafu ni watata I hate them
 
Back
Top Bottom