Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,492
- Thread starter
- #221
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Ndio maana hata mimi nataka niende jeshi maana kila dada anatama "a man in uniform " ngoja nitafute chance na mimi..
Onyo:sio nikirudi kutoka depo nikute mmebadirika mkaanza kutaka wapiga debe maana nyie wanawake sio watu wa kuaminika leo mnaweza kupenda wajeda kesho mkataka madokta