round kick
JF-Expert Member
- Feb 3, 2025
- 935
- 3,014
Muhimu: Ni nje ya watu wenye changamoto za afya za uzazi, walemavu, wafungwa wa magerezani, watu wanaoishi maisha ya kimasikini kupitiliza.
Suala la kuoa au kuolewa halina uzito sana hasa kwa zama za sasa, watu wengi ndoa zimevunjika wanaishi kivyao
Lakini unafika 35 huna au hujawahi kuwa na mtoto hata mmoja.
Sina maana ya kusema kwamba uzalishe na kukimbia, Hii sio sawa, ni jinsi unavyojisikia kwamba umefika 35 na huna mtoto, hayo maisha utayaishi bila kuona kuna kitu muhimu huna ?
USINGIZI UNAUTOA WAPI ?
Suala la kuoa au kuolewa halina uzito sana hasa kwa zama za sasa, watu wengi ndoa zimevunjika wanaishi kivyao
Lakini unafika 35 huna au hujawahi kuwa na mtoto hata mmoja.
Sina maana ya kusema kwamba uzalishe na kukimbia, Hii sio sawa, ni jinsi unavyojisikia kwamba umefika 35 na huna mtoto, hayo maisha utayaishi bila kuona kuna kitu muhimu huna ?
USINGIZI UNAUTOA WAPI ?