Satoh Hirosh njooooo.pole sana kipenzi, thread yako sikuiona.
Kila mtu na bahati yake....acha ajaribu bahati yakeHata na ww haupo serious unatafuta mume mtandaoni!!!!!!![]()
Mimi nani nibishane na wwKila mtu na bahati yake....acha ajaribu bahati yake

mtelezo ina maana nyingi ujue..Hakuna aloserious humu wengi wanapenda mtelezo
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Njoo ndani tuongelee hili jambo, linaongeleka kabisa...Satoh Hirosh njooooo.
Wewe umwjuaje wakati wapo couple wamekutana humu na ndoa wamefunga. Sema labda wewe huna bahati

mkuu huo ndo ukweliKwa hiyo wanaume wa jf ni wagegedaji tuu na suo waoaji🤣🤣🤣🤣🤣
Mkuu humu asilimia kubwa ni wanaume walooa.... tofauti na hapo ni wale vijana wa chuo.....sasa hao vijana wa chuo ndo balaa.....sema nilfuta kaushahidiKwa hiyo wanaume wa jf ni wagegedaji tuu na suo waoaji![]()
Sasa nyie hamtaki kiwa wake wa pili kwa nini?Mkuu humu asilimia kubwa ni wanaume walooa.... tofauti na hapo ni wale vijana wa chuo.....sasa hao vijana wa chuo ndo balaa.....sema nilfuta kaushahidi
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Unataka niwe mke wa pili......nipe uthibitisho wa mkeo kukubali hilo swala...watu wanauana sana lazima kue na tahadhali....... kingine wanaume wa humu mnapenda sana chura na bikraSasa nyie hamtaki kiwa wake wa pili kwa nini?



Sasa kwa hiyo wewe chura huna na bikra huna🤔🤔🤔🤔Unataka niwe mke wa pili......nipe uthibitisho wa mkeo kukubali hilo swala...watu wanauana sana lazima kue na tahadhali....... kingine wanaume wa humu mnapenda sana chura na bikra
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Jan Tu nimetoa onyo,Leo anatafuta mwingine jfSatoh Hirosh njooooo.
Kilichotokea hapo ni bahati mbaya tu... 🤗Jan Tu nimetoa onyo,Leo anatafuta mwingine jf
Mr That Gentleman unakwama wapi rafiki yangu?..ngoja nikuambie,huyu atakuvumilia wee Ila ipo siku atachoka na siku akija kwangu ndy utajua hujui,maana Mimi ninavyojua kupetipeti na kudekeza km nimetoka India vile😅
yeah sana sana bikra upande was chura sio saaaaana hata mtoni wapoUnataka niwe mke wa pili......nipe uthibitisho wa mkeo kukubali hilo swala...watu wanauana sana lazima kue na tahadhali....... kingine wanaume wa humu mnapenda sana chura na bikra![]()
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Ndio chura Sina bikra sinaSasa kwa hiyo wewe chura huna na bikra huna![]()
yeah sana sana bikra upande was chura sio saaaaana hata mtoni wapo


SawA mkuu