Humu kuna wanaume serious kweli

Humu kuna wanaume serious kweli

Jan Tu nimetoa onyo,Leo anatafuta mwingine jf

Mr That Gentleman unakwama wapi rafiki yangu?..ngoja nikuambie,huyu atakuvumilia wee Ila ipo siku atachoka na siku akija kwangu ndy utajua hujui,maana Mimi ninavyojua kupetipeti na kudekeza km nimetoka India vile😅
Kilichotokea hapo ni bahati mbaya tu... 🤗

Ila Karucee usidanganyike na hizi kampeni, wanasiasa huwa ni waongo tu.
 
Back
Top Bottom