Humu kuna wanaume serious kweli

Humu kuna wanaume serious kweli

Single mom hatuolewi......si ndo mlisema

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣🤣 huo ndio ukweli wenye jamani ila sasa nyie ndio watamu kweli kweli kwa migegedo maana mnajituma sijui kwa kuwa mnakuwa hamnajagegedwa muda. ebu tupee siri ya nyie kuwa watamu zaidi mkiwa masingle maza kuliko mkiwa single tuu au wake.
 
huo ndio ukweli wenye jamani ila sasa nyie ndio watamu kweli kweli kwa migegedo maana mnajituma sijui kwa kuwa mnakuwa hamnajagegedwa muda. ebu tupee siri ya nyie kuwa watamu zaidi mkiwa masingle maza kuliko mkiwa single tuu au wake.
Sisi watamu kwa sababu atugegedwi ovyoovyo....tunajua umuhimu wa tendo....na tunajua thamani ya papuchi zetu! ...Nawasilisha mkuu

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Wapo ila kuwapata mpaka uwe na bahati!
 
Shida zenu mnaweka masharti magumu mtu akijitosa na kuja mwisho wa siku anakutana na sura ngumu kama tata la zamani.
 
Ni mwaka jana niliandika uzi wa kutafuta Mme. Wanaopatikana ni waume za watu na vijana wasio serious yaani play boy. Wanawake wenzangu mlifanikiwa kupata wenza au hili limenikuta Mimi tu
Karibu kwangu njoo pm.
 
Wanaokuja ndo wanaume hadhi yako, so usishangae sana. Hata ww haupo serious, mwanamke aliye serious hawezi tafuta mme kwa njia uotumia
 
Duuh!! We tangia mwaka jana upo tu unasubiri Me wa Jf bado. Lol.
 
Duuh!! We tangia mwaka jana upo tu unasubiri Me wa Jf bado. Lol.
Ndio kama nisemavyo baada ya miaka mitano wenyewe mtaanza kikubali kuwa second wife kama sio third wife🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom