Humu kuna wanaume serious kweli

Humu kuna wanaume serious kweli

Ni mwaka jana niliandika uzi wa kutafuta Mme. Wanaopatikana ni waume za watu na vijana wasio serious yaani play boy. Wanawake wenzangu mlifanikiwa kupata wenza au hili limenikuta Mimi tu
Vigezo ulivyovitaka vilikuponza
 
Ni mwaka jana niliandika uzi wa kutafuta Mme. Wanaopatikana ni waume za watu na vijana wasio serious yaani play boy. Wanawake wenzangu mlifanikiwa kupata wenza au hili limenikuta Mimi tu
Kama hata wewe unayetafuta mume sio bikira pia ni mke wa mtu.
 
Ni mwaka jana niliandika uzi wa kutafuta Mme. Wanaopatikana ni waume za watu na vijana wasio serious yaani play boy. Wanawake wenzangu mlifanikiwa kupata wenza au hili limenikuta Mimi tu
try me
 
Nipo hapa sema sina mpango wa kuoa. Sitaki kuwa king'ora mie
 
Tupo wengi, shida tupo kwenye kunda la "you're not my type" na "tafta ela" kwaiyo huwa tunaishia kusoma thread zenu na kutikisa kichwa tukisema "masikin huyu nae ataikosa furaha toka kwangu kisa bado napambana kutafta life" ina udhunisha sana
 
Ni mwaka jana niliandika uzi wa kutafuta Mme. Wanaopatikana ni waume za watu na vijana wasio serious yaani play boy. Wanawake wenzangu mlifanikiwa kupata wenza au hili limenikuta Mimi tu
Mambo yasiwe mengi, mimi sina mke ila nina watoto wawili kama upi tayari njoo PM
 





Vigezo ulivyovitaka ndio vinakukwamisha
 
Ni mwaka jana niliandika uzi wa kutafuta Mme. Wanaopatikana ni waume za watu na vijana wasio serious yaani play boy. Wanawake wenzangu mlifanikiwa kupata wenza au hili limenikuta Mimi tu
Weka hapa link ya huo uzi wa Mwaka jana basi😊
 
Back
Top Bottom