Humu kuna wanaume serious kweli

Humu kuna wanaume serious kweli

hii mbususu yangu naitunza hadi irudi bikra.....nyie simlisema mnataka wenye wako sealed sasa mim.....nataka irudi sitak mchezo kabisa..... nakuzingua mkuu....

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Mie najua kuna kamjamaa tuu mara moja moja kanapatiwa mbususu kaonje isije ikajaa kutu🤣🤣🤣🤣
 
Ni mwaka jana niliandika uzi wa kutafuta Mme. Wanaopatikana ni waume za watu na vijana wasio serious yaani play boy. Wanawake wenzangu mlifanikiwa kupata wenza au hili limenikuta Mimi tu
Uni PM pls
 
Ni mwaka jana niliandika uzi wa kutafuta Mme. Wanaopatikana ni waume za watu na vijana wasio serious yaani play boy. Wanawake wenzangu mlifanikiwa kupata wenza au hili limenikuta Mimi tu
Wanaume tupo , shida mnaweka matangazo yenu, mkitafutwa mnaanza bla bla katika mawasiliano mnashindwa kutofautisha zama zile na leo

Yaani mtu akikucheki eleweka weka mambo safi, tuendelee na utartibu shida mnaanza kudengudengua hapa
 
Ni mwaka jana niliandika uzi wa kutafuta Mme. Wanaopatikana ni waume za watu na vijana wasio serious yaani play boy. Wanawake wenzangu mlifanikiwa kupata wenza au hili limenikuta Mimi tu
Kuwa makini kuwapa no zako ili muwasiliane nje ya jf.watakukula na kuja kukutangaza humu.

Anyway sijawahi tafuta mme humu ila nina experience kwa yule alonitafuta humu zamani kidogo. He was super na hakuwa mme wa mtu.

Kama wewe ni mtu makini embu fatilia huyo mtu alijiunga lini jf, pili soma anacho kikoment humu ujuwe unadili na mtu gani.

Nakubaliana na wewe humu wengi waume za watu. Usikubali kukutana na mme wa mtu, je utajuwaje kuwa ni mme wa mtu? Soma coments zote ambazo alishawahi weka humu.ukikuta ni mpuuzi mpuuzi usimpe no.

Ukikuta mtu anatukana matusi humu hata maisha nje ya jf yuko vile vile.

N.b wanaume wasomi na wa maana nikuhakikishie wako humu ila kumjua ni ngumu lazima uwe na ka iq kama kangu.

Ushauri dia embu jaribu nje ya mitandao, unajua mtu akikupenda kwa kukuangalia na akalidhia akachukua no inavutia kidogo.kuliko kukutana na mtu mtandaon siku mnakutana unaona hutompenda.😉
 
Kuwa makini kuwapa no zako ili muwasiliane nje ya jf.watakukula na kuja kukutangaza humu.

Anyway sijawahi tafuta mme humu ila nina experience kwa yule alonitafuta humu zamani kidogo. He was super na hakuwa mme wa mtu.

Kama wewe ni mtu makini embu fatilia huyo mtu alijiunga lini jf, pili soma anacho kikoment humu ujuwe unadili na mtu gani.

Nakubaliana na wewe humu wengi waume za watu. Usikubali kukutana na mme wa mtu, je utajuwaje kuwa ni mme wa mtu? Soma coments zote ambazo alishawahi weka humu.ukikuta ni mpuuzi mpuuzi usimpe no.

Ukikuta mtu anatukana matusi humu hata maisha nje ya jf yuko vile vile.

N.b wanaume wasomi na wa maana nikuhakikishie wako humu ila kumjua ni ngumu lazima uwe na ka iq kama kangu.

Ushauri dia embu jaribu nje ya mitandao, unajua mtu akikupenda kwa kukuangalia na akalidhia akachukua no inavutia kidogo.kuliko kukutana na mtu mtandaon siku mnakutana unaona hutompenda.
Acha kuharibu chakula cha watu..!
 
Back
Top Bottom