Bueno
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 34,609
- 59,655
Ujinga ujinga umekujaa sana unajuaKitu kina mvuto
Ujinga ujinga umekujaa sana unajuaKitu kina mvuto
😆😆Mimi nilikutana na mmoja yupo kama hivi nikala kona🐒😁😁😁View attachment 3374741
😅😅😅 mkuu siti yako ya ulevi ipo sanaTafuta kile kijamaa kinachojiita kizuri kila siku humu🤣🤣 mimi ni mlevi tu humu
Kwa nini master😅😅😅 mkuu siti yako ya ulevi ipo sana
Utajua kupitia friendship before relationshipSo nani umemuona ana mapenzi ya dhati na mimi
Hivi kwa wadada nayo baridi inaleta fukuto?Hadi baridi iishe mengi yataonekana....
😂😂Hadi baridi iishe mengi yataonekana....
SanaaaHivi kwa wadada nayo baridi inaleta fukuto?
Ndioo hivi unajua ujinga pia nawewe unao sema kivipi nikuambieUjinga ujinga umekujaa sana unajua
Kwangu Mimi hiyo ni kawaida tu binafsi kuwa handsome ni vizuri napenda kutazama picha zangu mara Kwa mara au kujiangalia kwenye kioo lakini kitu nimenyimwa mpaka sasa ni pesa naamini wakati wangu utafika ntazipata.Je humu kuna,wanaume kama hawa??
Waliowakaaa
Ila fulsa ipoKwangu Mimi hiyo ni kawaida tu binafsi kuwa handsome ni vizuri napenda kutazama picha zangu mara Kwa mara au kujiangalia kwenye kioo lakini kitu nimenyimwa mpaka sasa ni pesa naamini wakati wangu utafika ntazipata.
Ooh sawaUtajua kupitia friendship before relationship
Uhakika kabisa bila shaka madameIla fulsa ipo
Na ukishajiujua wewe ni handsome pesa utazisikia kwenye bomba bwasheeKwangu Mimi hiyo ni kawaida tu binafsi kuwa handsome ni vizuri napenda kutazama picha zangu mara Kwa mara au kujiangalia kwenye kioo lakini kitu nimenyimwa mpaka sasa ni pesa naamini wakati wangu utafika ntazipata.
Si kweli mkuu hacha kabisa maisha ni Siri Kuna watu ni ma handsome lakini wanachanganya zege ni swala la muda tu Leo Wana Hela kinoma, hiyo mind sett Yako itoe kichwani mkuuNa ukishajiujua wewe ni handsome pesa utazisikia kwenye bomba bwashee
Eh itumie uwe utakapo ila usimtese mtu kama humtakiUhakika kabisa bila shaka madame
Sawa nimeitoa bwashee 😅Si kweli mkuu hacha kabisa maisha ni Siri Kuna watu ni ma handsome lakini wanachanganya zege ni swala la muda tu Leo Wana Hela kinoma, hiyo mind sett Yako itoe kichwani mkuu
haszu anaitwa huku.Tafuta kile kijamaa kinachojiita kizuri kila siku humu🤣🤣 mimi ni mlevi tu humu