Humu kuna wanaume kama hawa

Humu kuna wanaume kama hawa

Wa ndoa ila sio humu
Kama ni hivyo huwezi ukaangalia uhasome wa Mtu, mwanaume mwenye malengo unapima Kwanza akili yake, upambanaji wake na moyo safi hivyo vingine vinakuwa vya ziada ila ukiupa uhasome kiupaombele ni ngumu kupata mwanaume mwenye Nia ya dhati na wewe
 
Back
Top Bottom