Humu kuna wanaume kama hawa

Humu kuna wanaume kama hawa

Mwanaume anasifiwa vitu tatu tu,

👉 Mfuko uwe sawa, mpunga/eleri/dollari ya mzungu/sumni

👉Mamlaka na sauti ndani ya nyumba iwe ndoa au mahusiano rasmi,

👉6*6 hakuna kuleta huruma wala kujilegeza ni kukaza Tako na kumfanya bibiye asahau shida za Dunia hii na kuipata Raha


Nasikia wanataka wanaume weusi ni watamu huku wakitaka wanaume weupe kwa sababu wazae watoto weupe,

Ukiwa na pesa/mpunga/Mali uhalisia wako utaonekana hivyo ndo vya msingi kwa wanaume



Otherwise uwe Mario au marangirangi usifiwe uzuri
 
Hao achana nao - Tupo sisi.
file_000000004fcc61f7b94fc7fb52ebed7b.jpg
 
20250508_092511.jpg

Kwa msoto tuliokulia wengi wetu tutaanza vipi kufanana na pisi kali si masikhara hayo
 
Back
Top Bottom