Humu kuna wanaume kama hawa

Humu kuna wanaume kama hawa

Kama ni hivyo huwezi ukaangalia uhasome wa Mtu, mwanaume mwenye malengo unapima Kwanza akili yake, upambanaji wake na moyo safi hivyo vingine vinakuwa vya ziada ila ukiupa uhasome kiupaombele ni ngumu kupata mwanaume mwenye Nia ya dhati na wewe
So nani umemuona ana mapenzi ya dhati na mimi
 
Mbona Wapo. Halafu kawaida kabisa.

Tena Kwa kuongezea

Humu JF Wanaume,

Wote Ma handsome.
Wote Wanaenda round kuanzia 7 kwenda juu.
Wote wana Hela.
Wote wamesoma UDSM.
Wote wana ajira za uhakika na marupurupu ya kutosha.
Wote wana magari sio vyombo vya Usafiri.
Wote kwenda Nchi za nje ni kama kwenda msalani tu.

Kwahiyo uwe na Amani ya kutosha Pipi Tamu.
 
Mimi nilikutana na mmoja yupo kama hivi nikala kona🐒😁😁😁
IMG_4979.jpeg
 
Aisee nilikuuzia wewee au baba yako acha dharau dogo na wala huna nguvu za kiume unadanga tu
we mrembo SweetyCandy usi panic miss world, tatitzo unaonekana unapenda mapenzi ya tamthilia mdogo wangu, angalia usije ukafanywa tu MTAMBO wa kufyetua WATOTO tu kwa hao uwaitao ma hb.
kuhusu nguvu za kiume;-
you are welcome to my world baby, utawasimulia members wenzio wa JF! worry out about that beibeeeeeh! you are the 1&only sweeeeetness candy.
 
Back
Top Bottom