Humphrey Polepole avamiwa na majambazi

Humphrey Polepole avamiwa na majambazi

vuvuzela wa ccm huyo, ni mbinu hakuna cha majambazi. Ana maana alikuwa anajadiliana nao wakaondoka kistaarabu? Hao polisi walikuwa upenuni wakimlinda yeye? Mbinu zingine za kilofa sana kutafuta umaarufu. Mandela alishaangaliza kwamba ukitaka kuwa maarufu uwe tayari kwa machungu. Asiweweseke ili apatiwe ulinzi. Kama anataka ving'oling'oli aanze siasa za kwenda yeye mwenyewe ikulu. Labda waume za kina mama anaoambiwa anawachakachua kazini kwake? Maana aliambiwa na msigwa kwamba hajawa mwadilifu na hakujibu mpaka leo. Labda kapora mali za watu wanamlazimisha awarudishie anawageuzia kibao. Simwamini tena dogo polepole amejiharibia heshima yake tangu alipokubali kutumiwa kama toilet paper

labda,,,,
 
jamani sasa polepole aulizwe hivi unafikiri nani haswa kakuvamia?

utamsikia mimi sijamjua ndio maana nimesema majambazi ila najua sasa nina maadui wengi walioumizwa na maneno yangu unajua mimi nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko ila nahisi watakuwa ukawa.

tetetetteeee chezea pesaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Wangekapiga kwanza ndo polisi wafike.....Vijana wanafiki km hao ni wa kuogopwa km ukoma
 
Hawa jamaa hawakawii kusema Jumamosi watu wasiende kwenye kampeni sababu ya Kipindupindu au Intelejensia inaonesha kuna Ugaidi. POLICCM
 
aliyekuwa mjumbe wa tume maalum ya katiba (maarufu-tume ya warioba) na mchambuzi wa siasa, humphrey polepole, usiku wa kuamkia jana alivamiwa na watu wasiojulikana akiwa nyumbani kwake,mbezi beach, dar.

Polisi walifika haraka eneo la tukio. Hakuna madhara yaliyoripotiwa, pia hakuna aliyekamatwa kuhusishwa na tukio hilo.

View attachment 280117
chanzo: raia tanzania



''siku hizi hawatumii sumu tena''
 
TAngu mtesaji wa Ulimboka akamatwe kwa gwajima, imani na polisi imeisha kwangu
 
Back
Top Bottom