Humphrey Polepole avamiwa na majambazi

Humphrey Polepole avamiwa na majambazi

Bhahahahahahahahaaaaaa, nimecheka sana, unajua uwezo wa kufikiri wa mwanadamu huwa ni zaidi ya tujuavyo, nimefikiri na nimegundua kuna jambo hapa halipo sawa! Halafu kibaya zaidi sisi Malofa na Wapumbavu tumegundua.
 
Polisi wameweza kufika kwa haraka nyumbani kwa Polepole alipovamiwa....

Lakini hawajawahi kufika haraka kunusuru vituo vyao pindi maharamia walipovivamia...
 
Hao vibaka tu, watu kwa kukuza mambo duh, wanataka kuwasingizia UKAWA jambo. Stupidity
 
Ana pesa ngapi mpaka avamiwe? Ana nini ndani mwake? Ni hayo makabrasha ya siasa???? Ngumu kumeza.
 
Huyu kaka staki kumsikia ni bora afe tu na tangu leo nawazalau watanzania wote wapumbavu na malofa,,nashukru sijawa mtz
 
Back
Top Bottom