Humphrey Polepole avamiwa na majambazi

Humphrey Polepole avamiwa na majambazi

Kipindupindu chasababisha kusitishwa kwa Ufunguzi wa Kampeni za UKAWA Dar.

I expect this Tittle on Friday
 
Pole yake,Eti polisi wamewahi!! Hii kali ya mwaka,haijawahi kutokea,special for him only!!
 
Huwa kuna matukio ya kipuuzi hutokea, either kwa kupangwa au kwa upuuzi tu wa mtu mwenyewe, matukio ya kipuuzi hata tulipokuwa boarding yalikuwepo. Wacha waendelee kuichangamsha Jamii
 
Huyu Polepole kifo kinamtafuta,nilimsikia katika kipindi ktk TV akimfananisha Mh.Lowassa na nyani wanaokula mahindi katika mashamba ya kijijini kwao halafu wakaamua kuwafukuza wakaingia kwenye mashamba ya kijiji jirani.
Sijui amefikaje umri alionao pasipokujua unyama wa wanaadamu ulivyo,atumie nafasi hii kujitafakari!
 
Pole pole siyo polepole tena ni mwendo kasi. Anataka kuleta sinema za kichina atuambie ukweli ccm wamempa mzigo afanye kampeni kwenye tv
Khaa!! Hata kama kapewa mzigo sawa tu. Nani hataki mzigo? Magufuli? Lowassa? Tumia akili bana
 
jamani mbona ni kituko cha mwaka eti polisi walifika haraka na akuna majeraha wala kilichoibiwa wala akuna aliye kamatwa du kichekesho kwa sababu kwanza polisi awana rekodi ya kuwai au kusaidia kwenye matukio akunaga iyo masta pili tutaaminije kwamba ni wezi ndio walikuja?

Kwa mara ya kwanza polisi kuwahi katika tukio la uhalifu!!
 
Inawezekana pia katengeneza biashara yakuvamiwa ipi apate umaarufu hana maana mtt hyo njaa inamsumbua kapewa mshiko na ccm anamwaga povu mdomoni.
 
Aliyekuwa mjumbe wa Tume Maalum ya Katiba (maarufu-Tume ya Warioba) na mchambuzi wa siasa, Humphrey Polepole, usiku wa kuamkia jana alivamiwa na watu wasiojulikana akiwa nyumbani kwake,Mbezi Beach, Dar.

Polisi walifika haraka eneo la tukio. Hakuna madhara yaliyoripotiwa, pia hakuna aliyekamatwa kuhusishwa na tukio hilo.

View attachment 280117
CHANZO: Raia Tanzania

Yale yale ya Kibanda...
 
Inasemekana majambazi yalitaka kumwibia speech zake alizonazo kichwani
 

Attachments

  • 1440707725459.jpg
    1440707725459.jpg
    9.4 KB · Views: 238
Aliyekuwa mjumbe wa Tume Maalum ya Katiba (maarufu-Tume ya Warioba) na mchambuzi wa siasa, Humphrey Polepole, usiku wa kuamkia jana alivamiwa na watu wasiojulikana akiwa nyumbani kwake,Mbezi Beach, Dar.

Polisi walifika haraka eneo la tukio. Hakuna madhara yaliyoripotiwa, pia hakuna aliyekamatwa kuhusishwa na tukio hilo.

View attachment 280117
CHANZO: Raia Tanzania

Usanii at work. Ameanza kuweweseka.
 
aliyekuwa mjumbe wa tume maalum ya katiba (maarufu-tume ya warioba) na mchambuzi wa siasa, humphrey polepole, usiku wa kuamkia jana alivamiwa na watu wasiojulikana akiwa nyumbani kwake,mbezi beach, dar.

Polisi walifika haraka eneo la tukio. Hakuna madhara yaliyoripotiwa, pia hakuna aliyekamatwa kuhusishwa na tukio hilo.

View attachment 280117
chanzo: raia tanzania

kwenye katiba alikuwa malaika tulimpenda sn lkn baada ya kuvutwa na chama cha wala bata wa nchi hii tayari.....kashakuwa shet.....! Wala hatuhitaji habari zake tena!
 
Hii n ile kama ya mwigizaji nguli papa lowassa eti kanywa maji y kiloba 😱😱😱😱:what::what::what:
 
Back
Top Bottom