Humphrey Polepole avamiwa na majambazi

Humphrey Polepole avamiwa na majambazi

Hakika hapa Jf kuna vichwa !
Jf's member anaesomeka kwa username Kyenju , ndiyo amenifanya niandike thrade hii.

Kyenju kupitia comment yake , humuhumu Jf amehoji kwamba Humphrey hadi saa 5 na ushee jana usiku , alikuwa chanel 10 kwenye kipindi (live) .
Binafsi mimi nilikua nakiangalia kipindi hicho .

Hoja muhimu ya Kyenju , anahoji tujiulize magazeti yanakua yamemakamilika kuchapishwa muda gani ?

Na tuanzie hapo :
Uzoefu unatuambia/tuonesha by saa 5 - 6 usiku magazeti hua tayari yashachapwa , na yaendayo mikoani hua tayari yako njiani .

Point muhimu hapa , ni saa ngapi Mr slowslow alifika home , na ni saa ngapi alivamiwa ? Saa ngapi polisi walifika kum'resque (kama ilivyoripotiwa gazetini)
Na ni muda gani habari zilifika chumba cha habari cha gazeti , zikahaririwa na kueditiwa ?
Na asubuhi zikaamka kwa walaji gazetini.

Ikumbukwe gazeti lililoripoti , ni gazeti lenye mahusiano na Uhuru/Daily news.

Wadau wangu hii makitu inaingia akilini ?
Tamthilia either !


Habari inasema USIKU WA KUAMKIA JANA.....una zaidi ya masaa 24 kutoka usiku wa kuamkia jana hadi leo hii.....tukio la usiku wa kuamkia jana lina siku nzima ya jana kuyafikia magazeti.....ingekuwa USIKU WA KUAMKIA LEO ndio hoja yako na wengine kwamba limewezaje kutoka kwenye gazeti la leo ingekuwa na mashiko.

Hata kama wanatengeneza 'sinema' hawawezi kuwa wajinga kiasi hiki....au mimi ndio sijui USIKU WA KUAMKIA JANA maana yake nini??!!
 
Vyombo vya habari vingi hapa Tanzania vimejaa wandishi malofa na wapumbavu kyliko hata aliowataja Mkapa
 
Habari wakuu!
Kuna taarifa kuwa Hamphrey Polepole yule Ant-Lowassa kavamiwa na majambazi home kwake. Vp hz ni taarifa za ukwel au uzushi tu?
 
Kama ni kweli watakua wenzie wamemzunguka ili aendelee kuongea sana, hawaaminiki wale
 
kashaanza kampeni za kumchafua Lowassa ili ionekane Lowassa kesha anza kushughulikia, hana lolote huyo
 
Hii Thread Ni Ya Kupuuza Tu. Au Mmesahau Kuwa Tumeitwa Malofa?
 
Cinema za mkapa na makofuli pamoja na policeCCM......wapo kazini
 
Pole sana Ndugu polepole, usiache kukaa kimya. Tutawatafuta na tukiwabaini tutakomesha vitendo viovu vya hawa Chadema.
 
Aliyekuwa mjumbe wa Tume Maalum ya Katiba (maarufu-Tume ya Warioba) na mchambuzi wa siasa, Humphrey Polepole, usiku wa kuamkia jana alivamiwa na watu wasiojulikana akiwa nyumbani kwake,Mbezi Beach, Dar.

Polisi walifika haraka eneo la tukio. Hakuna madhara yaliyoripotiwa, pia hakuna aliyekamatwa kuhusishwa na tukio hilo.

Source: RFA, Tuongee Magazeti

Acha Upumbavu
 
Mimi na wewe wote ni nyumbu, anayemjibu nyumbu lazima naye awe nyumbu, maana anafahamu lugha za nyumbu. Unaweza kuwasiliana na nyumbu kama wewe sio nyumbu ??

wewe na wenzio ni wakupuuzwa!mmeivalia shanga ngoma bila kufuatisha mdundo...ona sasa kwenye reggae mmecheza kibao kata!
 
Inawezekana hata hakuna lolote kama hilo lilivyoripotiwa...... who knows, may be it's a search for the media attention!!!!!!
 
siasa zimewatoa watu hata chembe kidogo za utu!
Na kwa roho na akili hizi,ikulu mtaisikia kwenye bomba tu!
MSAHAU!

Kwani mkuu mimi nimeongelea ikulu hapo? Ikulu mimi hainihusu kiongozi mkuu!!
 
Mh hii habari hainar mashiko.. Inakuzwa.. Mambo mengine Ni uzushi mtupu..
 
Hao hawakuw majambazi ila vibaka wa usiku wezi wa nyombo vya ndani, walikuwa wanatafuta chao.
 
Back
Top Bottom