Humphrey Polepole avamiwa na majambazi

Hakika hapa Jf kuna vichwa !
Jf's member anaesomeka kwa username Kyenju , ndiyo amenifanya niandike thrade hii.

Kyenju kupitia comment yake , humuhumu Jf amehoji kwamba Humphrey hadi saa 5 na ushee jana usiku , alikuwa chanel 10 kwenye kipindi (live) .
Binafsi mimi nilikua nakiangalia kipindi hicho .

Hoja muhimu ya Kyenju , anahoji tujiulize magazeti yanakua yamemakamilika kuchapishwa muda gani ?

Na tuanzie hapo :
Uzoefu unatuambia/tuonesha by saa 5 - 6 usiku magazeti hua tayari yashachapwa , na yaendayo mikoani hua tayari yako njiani .

Point muhimu hapa , ni saa ngapi Mr slowslow alifika home , na ni saa ngapi alivamiwa ? Saa ngapi polisi walifika kum'resque (kama ilivyoripotiwa gazetini)
Na ni muda gani habari zilifika chumba cha habari cha gazeti , zikahaririwa na kueditiwa ?
Na asubuhi zikaamka kwa walaji gazetini.

Ikumbukwe gazeti lililoripoti , ni gazeti lenye mahusiano na Uhuru/Daily news.

Wadau wangu hii makitu inaingia akilini ?
Tamthilia either !
Inawezekana kabisa wewe ni miongoni mwa wavamizi sasa manajikosha.
 
Aliyekuwa mjumbe wa Tume Maalum ya Katiba (maarufu-Tume ya Warioba) na mchambuzi wa siasa, Humphrey Polepole, usiku wa kuamkia jana alivamiwa na watu wasiojulikana akiwa nyumbani kwake,Mbezi Beach, Dar.

Polisi walifika haraka eneo la tukio. Hakuna madhara yaliyoripotiwa, pia hakuna aliyekamatwa kuhusishwa na tukio hilo.

Source: RFA, Tuongee Magazeti

Kama kavamiwa usiku, magazeti yanaandikwa muda gani ? Imekuwaje taarifa ziwe kwenye gazeti ilhali muda huo magazeti yanakuwa njiani kwenda mikoani !!!
 
Hakika hapa Jf kuna vichwa !
Jf's member anaesomeka kwa username Kyenju , ndiyo amenifanya niandike thrade hii.

Kyenju kupitia comment yake , humuhumu Jf amehoji kwamba Humphrey hadi saa 5 na ushee jana usiku , alikuwa chanel 10 kwenye kipindi (live) .
Binafsi mimi nilikua nakiangalia kipindi hicho .

Hoja muhimu ya Kyenju , anahoji tujiulize magazeti yanakua yamemakamilika kuchapishwa muda gani ?

Na tuanzie hapo :
Uzoefu unatuambia/tuonesha by saa 5 - 6 usiku magazeti hua tayari yashachapwa , na yaendayo mikoani hua tayari yako njiani .

Point muhimu hapa , ni saa ngapi Mr slowslow alifika home , na ni saa ngapi alivamiwa ? Saa ngapi polisi walifika kum'resque (kama ilivyoripotiwa gazetini)
Na ni muda gani habari zilifika chumba cha habari cha gazeti , zikahaririwa na kueditiwa ?
Na asubuhi zikaamka kwa walaji gazetini.

Ikumbukwe gazeti lililoripoti , ni gazeti lenye mahusiano na Uhuru/Daily news.

Wadau wangu hii makitu inaingia akilini ?
Tamthilia either !
Kwani hayo magazeti huchapishwa muda huo pia? Pia wakati wa heka heka za uchaguzi media house nyingi hazilali. Kufunga kazi saa tano huo ni uzembe. Kwa hiyo bado inawezekana, kavamiwa,na habari zimeandikwa kwa wakati. Lowasa mafia, hatujasahau alivyotaka kuiteka ccm, sema kakumbana na kanali wawili wa jwtz kikwete na kinana.
 
Last edited by a moderator:
raia mwema kwani ina tofauti na gazeti la uhuru? si ni kama mapacha. kazi yao ni kuandika story za kutunga na kushabikia ccm. ni aibu kwa taaluma ya uandishi kuandika habari za uongo na upendeleo.
 
Hakika hapa Jf kuna vichwa !
Jf's member anaesomeka kwa username Kyenju , ndiyo amenifanya niandike thrade hii.

Kyenju kupitia comment yake , humuhumu Jf amehoji kwamba Humphrey hadi saa 5 na ushee jana usiku , alikuwa chanel 10 kwenye kipindi (live) .
Binafsi mimi nilikua nakiangalia kipindi hicho .

Hoja muhimu ya Kyenju , anahoji tujiulize magazeti yanakua yamemakamilika kuchapishwa muda gani ?

Na tuanzie hapo :
Uzoefu unatuambia/tuonesha by saa 5 - 6 usiku magazeti hua tayari yashachapwa , na yaendayo mikoani hua tayari yako njiani .

Point muhimu hapa , ni saa ngapi Mr slowslow alifika home , na ni saa ngapi alivamiwa ? Saa ngapi polisi walifika kum'resque (kama ilivyoripotiwa gazetini)
Na ni muda gani habari zilifika chumba cha habari cha gazeti , zikahaririwa na kueditiwa ?
Na asubuhi zikaamka kwa walaji gazetini.

Ikumbukwe gazeti lililoripoti , ni gazeti lenye mahusiano na Uhuru/Daily news.

Wadau wangu hii makitu inaingia akilini ?
Tamthilia either !
Mwenye akili atajiuliza kama kipindi kilikuwa pre -recorded au kilikuwa live!!
 
Tunapoambiwa kuwa hakuna madhara yaliyotokea na hakuna aliyekamatwa ina maana hao majambazi walimvamia Polepole kwenda kumsalimia na kisha kuondoka baada ya Polisi kuwahi eneo la tukio?
 
Kutokana na akili ilikoelemea, tunasahau conveniently kuwa mjumbe wa Tume Katiba, Dr Mvungi aluwawa na "majambazi"
Tunapoambiwa kuwa hakuna madhara yaliyotokea na hakuna aliyekamatwa ina maana hao majambazi walimvamia Polepole kwenda kumsalimia na kisha kuondoka baada ya Polisi kuwahi eneo la tukio?
 
BWN POLEPOLE amekuwa mwiba kwa LOWASA na mgombea wa ukawa. jana amevamiwa nybani kwake ambapo baada ya kuanza kumshambulia mgombeawa ukawa amekuwa akipata vitisho.
polisi wanaendelea na uchunguzi.
Hahahahahaaaa........Katiba pendekezwa hoyeeeee........bado hatujaisahau. Asijitoe fahamu.

Aliyekuwa Mwiba kwa serikali ya CCM, Dr........Aling'olewa meno na kucha na Kitengo. Sasa labda Kitengo kinataka kumng'oa kucha Slowly Slowly
 
Mheshimiwa kipindi kingekua RECORDED wala nisingeandika Uzi huu !
Refar my Uzi , kipindi kilikua LIVE

we umeandika umekurupuka?..imeripotiwa tukio limetokea usiku wa kuamkia JANA,unaelewa maana yake?
Kwahiyo yeye kuwepo kwenye kipindi jana.,ambayo ni usiku wa kuamkia LEO,sio hoja hapa!
 
Lowassa utauwa wangapi wewe mzee.ulitaka kumuua mwakyembe mungu akamsaidia amepona sasa unahangaika na pole pole hutamweza.alichoamuwa ni kuwaeleza watanzania ukweli kwamba hufai kuwa kiongozi wa nchi hii.
 
ukawa wameshaanza utekaji nyara na ujambazi wao mapema ivi,

MUNGU IBARIKI TANZANIA
MUNGU MBARIKI NA KUMLINDA HAMPHREY POLEPOLE

hivi hawa chadema na ukawa hata nchi hawajapewa na hatuwezi kuwapa nchi wahuni na majambazi hawa lakini wameshaanza kuteka watu kama walimvyomteka Dr Ulimboka ili kuipaka matope serikali, ivi mkipewa nchi nyie hata ndotoni tu si mtaua wananchi nyie, shame on u UKAWA SHAME IN YOU CHADEMA,

Aliyekuwa mjumbe wa Tume Maalum ya Katiba (maarufu-Tume ya Warioba) na mchambuzi wa siasa, Humphrey Polepole, usiku wa kuamkia jana alivamiwa na watu wasiojulikana akiwa nyumbani kwake,Mbezi Beach, Dar.

Polisi walifika haraka eneo la tukio. Hakuna madhara yaliyoripotiwa, pia hakuna aliyekamatwa kuhusishwa na tukio hilo.

Source: RFA, Tuongee Magazeti
 
Pole sana Bw. Polepole kwa hilo tukio. Kama binadamu mwenzangu ninapaswa kukupa pole na siyo kukudhihaki. Wengine hawajui kuwa mkuki mtamu kwa..........
 
Kwani hayo magazeti huchapishwa muda huo pia? Pia wakati wa heka heka za uchaguzi media house nyingi hazilali. Kufunga kazi saa tano huo ni uzembe. Kwa hiyo bado inawezekana, kavamiwa,na habari zimeandikwa kwa wakati. Lowasa mafia, hatujasahau alivyotaka kuiteka ccm, sema kakumbana na kanali wawili wa jwtz kikwete na kinana.

Useme kakutana na majangili wawili.
 
Back
Top Bottom