Humphrey Polepole avamiwa na majambazi

Humphrey Polepole avamiwa na majambazi

majambazi wa mbezi beach wastaarabu sana , yaani hawakuibii wala kujeruhi , wanapiga story na wewe nakukupa kampani hadi police wanapofika .Na kutambua ustaarabu huu polisi wanawaacha waende tu bila kuwatia mbaroni....

Haya maajabu utayakuta kwa polisi wa Tanzania tu.
 
Walikuwa wanatafuta laptop yenye habari nyeti?uzushi mwingine bwana.hiviunamsikia jambazi au unahadithiwa.acheni mzaha kabisa.
 
Pole pole siyo polepole tena ni mwendo kasi. Anataka kuleta sinema za kichina atuambie ukweli ccm wamempa mzigo afanye kampeni kwenye tv
 
Umeniwahi kwani nilitaka kusema exactly ulichoandika. Kama polisi walifika on time basi Huo ni mchoro. Hii ni Kama ile sinema ya amboni. Wanaofanya haya matukio hata hawajui namna ya kufanya story angalau iwe na lafudhi ya ukweli. Mfano hii ya Leo wangemkata mguu pole pole kwa pole pole hadi Hapo polisi watakapofika. Sijui kwa nini mkapa haoni hawa ni wapumbavu😇



Wewe suala la amboni waliita Cinema unalifaham au unaropoka
 
BWN POLEPOLE amekuwa mwiba kwa LOWASA na mgombea wa ukawa. jana amevamiwa nybani kwake ambapo baada ya kuanza kumshambulia mgombeawa ukawa amekuwa akipata vitisho.
polisi wanaendelea na uchunguzi.

Lowasaa Na misukule wake wanajidanganya
 
Aliyekuwa mjumbe wa Tume Maalum ya Katiba (maarufu-Tume ya Warioba) na mchambuzi wa siasa, Humphrey Polepole, usiku wa kuamkia jana alivamiwa na watu wasiojulikana akiwa nyumbani kwake,Mbezi Beach, Dar.

Polisi walifika haraka eneo la tukio. Hakuna madhara yaliyoripotiwa, pia hakuna aliyekamatwa kuhusishwa na tukio hilo.

View attachment 280117
CHANZO: Raia Tanzania

Hii ni kick,pole sana mkubwa.Kwa hiyo polisi waliwahi siyo?
 
Mwaka huu watajiteka wenyewe na kujikomboa wenyewe......Polisi wanawahi kufika kwa pole pole wanachelewa vituaoni kwao walipochapwa na kuuawa.sawa uzuri tumeshajua nini kilichopo waendelee tu ila wasimsahau Kova maana amekuwa producer wao mzuri sana kipindi cha miaka 10 ya Director wa movies .......
 
Aliyekuwa mjumbe wa Tume Maalum ya Katiba (maarufu-Tume ya Warioba) na mchambuzi wa siasa, Humphrey Polepole, usiku wa kuamkia jana alivamiwa na watu wasiojulikana akiwa nyumbani kwake,Mbezi Beach, Dar.

Polisi walifika haraka eneo la tukio. Hakuna madhara yaliyoripotiwa, pia hakuna aliyekamatwa kuhusishwa na tukio hilo.

View attachment 280117
CHANZO: Raia Tanzania

MSANII........katiba imemshinda kageuka mwana siasa....shutuuu!!!
 
Eti kavamiwa lakini hakuna madhara, sasa huenda mtu anagonga getini kwa sababu hajiamini katika jamii anapiga simu polisi ili aseme navamiwa, ujinga ukivamiwa lazima kuwe na madhara hata kidogo lakini haina tabu maana huyu mtu ana tabia ya unafiki analeta unafiki hata kwa maisha yake kujitungia uongo aonekane ni public figure.

Labda kuna kitu anatafuta. Polepole ananza polepole kilisumbua geshi letu la polisi.
 
Kwani uongo, ukawa chama cha vibaka na majambazi kama Lema

Peleka ushahidi na ukafungue kesi. Acha kupiga kelele tu.
Mlisema Lowassa ni fisadi wa Richmondi mkaambiwa na yeye mwenyewe kama ushahidi mnao nendeni mahakamani.
Mmegwaya.
Sasa tutawasikiliza tu na kelele zenu. Manake sasa hamna namna nyingine.
Kelele hazijawahi kumzuia mtu kulala usingizi wake.
 
Back
Top Bottom