Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,757
Kupitia ukurusa wake wa Twitter Humphrey Polepole amepinga chanjo ya Maralia iliyoidhinishwa na WHO kwa kusema kuwa haiaminiki na kuwataka walioitengeneza waseme inafanyaje kazi kwenye miili ya watu.
Chanjo hiyo imekuwa ikifanyiwa utafiti kwa miaka kadhaa na WHO imeshauri nchi zinazokabiliana na ugonjwa huo kuanza kuitumia baada ya kuonyesha mafanikio makubwa katika hatua za majaribio.
Huyu ndugu Polepole huyu....
Huyu komredi mwenzetu huyu.....
Kiongozi wetu wa zamani ANATUSHANGAZA SANA....
Leo amekua mtaalamu wa CHANJO ,MADAWA NA UTABIBU?!!!
Hivi kweli DAWA...CHANJO zitengenezwe bila ya kuelezewa ZINAFANYA KAZI VIPI? Kweli jamani? Khaaa 😳😳🤣
Ndg.Polepole aache kuwahadaa wasiojua......
Ndg.Polepole aache siasa za kufikirika.......
#SiempreJMT
#NchiKwanza